ni njaa au?

cheusimangala

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
2,585
497
JAMANI NJAA HAINA ADABU NA HAICHAGUI MTU.


pic12782.jpg

Bibi akiwa amefungasha mzigo wa Bangi, mwenyewe alikuwa amejiandaa tayari kwenda kafanya biashara lakini bahati haikuwa yake wajanja wamemnasa.


207887r.jpg


Polisi wakimpekuwa bibi mwenye umri wa miaka 94 alikamatwa maeneo ya Nogales Arizona akiwa na bonge la mzigo wa bangi....Swali ni je kweli huyu bibi hiyo biashara ilikuwa ni ya kwake ?au wajanja walimtumilizia wakiamini bibi kama huyo hawezi kushukiwa kama anaweza fanya biashara kama hiyo? Mie naona she is toooooo old for that,....na kama ilikuwa ni biashara yake then the World is coming to an end.


NB:kama ilishapostiwa kabla mnisamehe bure.
 
JAMANI NJAA HAINA ADABU NA HAICHAGUI MTU.



Bibi akiwa amefungasha mzigo wa Bangi, mwenyewe alikuwa amejiandaa tayari kwenda kafanya biashara lakini bahati haikuwa yake wajanja wamemnasa.
Polisi wakimpekuwa bibi mwenye umri wa miaka 94 alikamatwa maeneo ya Nogales Arizona akiwa na bonge la mzigo wa bangi....Swali ni je kweli huyu bibi hiyo biashara ilikuwa ni ya kwake ?au wajanja walimtumilizia wakiamini bibi kama huyo hawezi kushukiwa kama anaweza fanya biashara kama hiyo? Mie naona she is toooooo old for that,....na kama ilikuwa ni biashara yake then the World is coming to an end.


NB:kama ilishapostiwa kabla mnisamehe bure.

Si bora huyo anahustle kuliko viongozi wetu wezi na wanyontaji...ni mjasiliamali huyo by the way...
 
Mi siamini kama ni kweli. Nadhani ni sanamu, vinginevyo angepekuliwa na askari wa kike
 
Bi mkubwa naye anataka kutoka ki'life.
Du!

bibi ananikumbusha ule usemi kuwa'fanya kazi kwa bidii kama vile hamna kufa' maana bibi hata akitoka namna atawahi kweli kula jasho lake kazi zenyewe hizi za hatari hatari tu presha itamuua kabla ya siku zake.
ila bibi ni komando jamani credits zake tumpe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom