Ni nini tafsiri ya kuachiwa kwa washukiwa wa vurugu za kidini Mwanza?

we andika porojo zooote uwezavyo. Ila udini upo kwa wakristo tena sana tu. waislam walimuita teacher (tena wakiwa na uwezo wakumkataa na kumpa nafasi mtu mwengine), hawakujali udini wake zaidi ya utanganyika wake. wakamlipa mshahara, wakamkirim (mpaka hata yeye mwenyewe anakiri), waislam wakafunga mpaka na saum ili afanikiwe huku wakijua yatakuwa mafanikio ya wote. Baada ya kupata uhuru sote ni mashahidi ni jinsi gani waislamu walivyotaabani mpaka sasa hivi. Halafu unakuja na porojo zako. ujinga.
Mimi naamini waislam hawana udini kwani ni imani ya mtu husika. Na nyerere asingepata hiyo nafasi kama kweli waislam niwadini. tatizo la Tanzania yetu ni wakristo kujiona wanahati miliki ya nchi hii. Tunasema hivi. mwisho wake u-karibu sana.
kwa usalama wetu-sote tuweke utaifa mbele na dini zetu zibaki kwetu wahusika na suala la kutangaza imani ya watu waachiwe wenyewe na si kusaidiwa na serikali.
 
Ndugu yangu yote uliyonena ndiyo busara na hekima. Ubarikiwe sana. Tatizo ni kwamba tafsiri ya Itikadi ya Uislamu ni tofauti sana. Inahimiza matumizi ya mauaji na vurugu, na ndiyo maana makanisa yanachomwa na wakristo kuuwawa Nigeria, Misri, Pakistani na kwingineko kwa maitikio ya Takbir na Allah Akbar.
 
Hivi Nyerere anaingiaje hapa? Mbona tumekuwa na maraisi waislamu na viongozi wengi sana wakiislamu? Nyerere kaacha utawala zaidi ya miaka 25 iliyopita! Kataifisha mashule na mahospitali ya wakristo ili raia wote wafaidike.Please let Nyerere rest in eternal peace. He remains the greatest leader in Africa and Tanzania.
 
Back
Top Bottom