Ni nini tafsiri ya kuachiwa kwa washukiwa wa vurugu za kidini Mwanza?

kama hatua hiyo imeepusha vurugu hata kama hukupendezwa nayo kwa jamii nzima ni hatua njema kwa afya ya taifa letu

hatuwezi tetea wahalifu eti kwasababu tumeepusha vurugu leo.lazima wahuni washughulikiwe bila kuangalia wao ni wakristo ama waislamu,bila hivyo sijui watawala wetu wanatupeleka wapi!!!
 
Kwa hiyo wewe ulitaka hao washukiwa na watuhumiwa wanyongwe ili wewe na wenzio wenye chuki za kipuuzi dhidi ya dini msizoziamini mfanye sherehe sio?

Hiyo ni tafsiri yako inayoeleza uelewa na ufahamu wako. Aliyekwambia kosa la kufanya vurugu adhabu yake kunyongwa nani? Jambo la msingi

hapa ni kwa mtuhumiwa yeyote kufikishwa katika vyombo vya maamuzi ili uamuzi halali ufanyike. Tukiwaachia polisi absolute power ya kuamua

nani ashtakiwe na nani aachwe huru hata wewe utajutia yatakayotokea. Napinga jambo hili kama nilivyopinga JK kuwasamehe watuhumiwa wa

EPA. Tuheshimu mahakama na tuziache zifanye kazi yake
 
kama hatua hiyo imeepusha vurugu hata kama hukupendezwa nayo kwa jamii nzima ni hatua njema kwa afya ya taifa letu

fofofo, either u r too blind to realise the impact of what u r saying or u r to religious to defend what u dont believe. Think of this, waislamu

wameandama kwa sababu kesi imeahirishwa katika utaratibu wa kawaida. Wamekamatwa. Wameachiwa huru. Wewe unasema ni hatua nzuri

kwa sababu imeepusha vurugu. Sasa kama mahakama hiyo itawaachia huru hao mabwana kutokana na kutokuwa na kosa kisheria, unadhani

nini itakuwa reaction ya waislamu? Na unadhani itabidi serikali iwafanyie nini hao watuhumiwa ili kuepusha vurugu? Hatuhitaji kuvunja sheria

kwa kigezo cha kuepusha vurugu. We have many better ways to deal with vurugu than that
 
Kwa kuanzia hakuna mtu aliyechoma kuran. Ni kuwa walichoma karatasi yenye kaaba na wasichana 2 wakiwa wamejishika mikono katika kuiabudu. Walichoma kwa sababu mama waliyemwombea akatokwa na majini alidai karatasi hiyo inamyima amani. Ilichomwa pamoja na hirizi zilizokuwa zimetolewa na mganga. Basi hasira ni kuwa kwa nini akakubali kuombewa na makafiri? Na majini hayo "matakatifu" yakanyimwa haki yake ya makao.

Hao waliwekwa ndani muda mrefu tu. Kisa eti wametuhumiwa kuchoma kkurani. waliochoma makanisa 3 baada ya hapo kama kitendo cha kulipiza kisasi wao hawakukamatwa!! Je hii si double standard?
Msilaumu waislamu bure au viongozi waislamu ila laumuni viongozi wakristo walioko kwenye nafasi hizo za maamuzi. Kuna viongozi waislamu na wakristo kwenye nafasi hizo kwa pamoja. Kwanini wawe wanafiki wakati maamuzi hayo ya double standards yanafanyika? Kwanini wasipinge? Wakinyamaza basi ni wanafiki. Kwa upande wangu nasema kuwa maamuzi haya ni ya halali kabisa kwa kuwa wakuu wote hapa mwanza ni wakristo.
Hata hivyo tukumbuke kwamba Bwana wetu yesu Kristo alitufundisha amani, kutolipiza kisasi na kusamehe na kwapenda maadui wetu. Kwa mafundisho haya usitegemee mkristo atapanda altarini na kuambia waumini kwenda waende kuchoma msikiti eti Muislamu kachoma biblia. Hua Tunasema Mungu atalipa au Maungu awasamehe kwa kuwa hawajui wanalotenda. Haya ndiyo yaliyofanyika huko Mwanza. Wakiristo walisema wasamehewe kwa kuwa Mungu amekwisha lipa na pia hawajui wanalotenda.
Ndugu zangu watanzania naomba tusimamie mafundisho Ya Bwana Wetu Yesu Kristo. Yesu Ni Mwana wa Mungu mpende msipende.
Atukuzwe Mwana kondoo wa Mungu, milele na milele. Amen.
 
Juzi zimetokea fujo na vurugu za kidini mwanza. Wameshikiliwa watu kadhaa kwa fujo hizo. Cha ajabu watu hao wakaachiwa baada ya

mazungumzo baina ya kamati ulinzi na usalama na BAKWATA Mwanza. Tatizo si kuachiwa kwao, bali sababu. . kwamba 'ni kuhakikisha

tunaweka mambo sawa na kuhakikisha amani na usalama'.

My take:
1. Sidhani kama ni utaratibu mzuri kuwaachia watuhumiwa kwa sababu za kulinda amani. Watuhumiwa waachiwe ikiwa tuu hawana makosa kwa

kuthibitishwa na mahakama kama katiba yetu inavyotaka. Ikiwa wakristo watafanya maandamano na fujo kuwatetea hao wachoma kuran, hao

watuhumiwa wataachiwa ili kulinda amani?

2. Kwanini maamuzi kama hayo hayafanywi Arusha ambako amani iko mashakani kila kukicha? Tutafsiri vipi maamuzi ya namna hii? Si ni polisi

hao hao wanahusika. Tanzania should strive to avoid double standards kwa kweli.

Jamani ninaomba tuwe makini tuache upotoshaji huu wa dhahiri hata kama ni kwa malengo ya kidini.

Watuhumiwa hao wa "kuchoma Quran" hakuwaachiwa baada ya mazungumzo ya kamati ya usalama ya mkoa
na BAKWATA. Bali ukweli ni kwamba watuhumiwa hao walipewa DHAMANA na mahakama. Kulingana na katiba yetu
makosa ambayo watuhimiwa hawawezi kupewa dhamana ni UHAINI na MAUAJI. Kosa la "kuchoma" Quran haliangukii
katika makosa hayo.

Walichokuwa wana pinga Waislamu ni watuhumiwa kupewa DHAMANA na sio kuachiwa HURU. Waislamu hawaafiki
kuwa watuhumiwa hao "They are innocent until proven guility before the court of law" na kwamba dhamana ni haki
yao ya kimsingi. Hapo ndiyo ngoma inogile.
 
tatizo nchi hii ni mfumo kristo,
Tatizo lkubwa hapa ni Elimu ndogo kwa hawa ndugu wamebaki wakiimba tu wimbo waliofundishwa na Bakwata utawasikia tu wanaimba Kama kasuku Mfumo Kristo jua wameishiwa wamebaki na Hilo tu
 
Kwa hiyo wewe ulitaka hao washukiwa na watuhumiwa wanyongwe ili wewe na wenzio wenye chuki za kipuuzi dhidi ya dini msizoziamini mfanye sherehe sio?

Wewe acha jazba za kitoto yeye alitaka waachiwe na mahakama na sio kuachiwa kwa mwafaka na bakwata, kwa sababu hao ni wahalifu kama wahalifu wengine. Hii ni double standard ambayo ndiyo inasababisha vurugu na uonevu tunavyoviona Arusha
 
Msilaumu waislamu bure au viongozi waislamu ila laumuni viongozi wakristo walioko kwenye nafasi hizo za maamuzi. Kuna viongozi waislamu na wakristo kwenye nafasi hizo kwa pamoja. Kwanini wawe wanafiki wakati maamuzi hayo ya double standards yanafanyika? Kwanini wasipinge? Wakinyamaza basi ni wanafiki. Kwa upande wangu nasema kuwa maamuzi haya ni ya halali kabisa kwa kuwa wakuu wote hapa mwanza ni wakristo.
Hata hivyo tukumbuke kwamba Bwana wetu yesu Kristo alitufundisha amani, kutolipiza kisasi na kusamehe na kwapenda maadui wetu. Kwa mafundisho haya usitegemee mkristo atapanda altarini na kuambia waumini kwenda waende kuchoma msikiti eti Muislamu kachoma biblia. Hua Tunasema Mungu atalipa au Maungu awasamehe kwa kuwa hawajui wanalotenda. Haya ndiyo yaliyofanyika huko Mwanza. Wakiristo walisema wasamehewe kwa kuwa Mungu amekwisha lipa na pia hawajui wanalotenda.
Ndugu zangu watanzania naomba tusimamie mafundisho Ya Bwana Wetu Yesu Kristo. Yesu Ni Mwana wa Mungu mpende msipende.
Atukuzwe Mwana kondoo wa Mungu, milele na milele. Amen.

Kwa ufupi ni kwamba Mungu wetu ana nguvu na uwezo wote wa kujipigania yeye mwenyewe lakini wa upande wa pili anapiganiwa na wanadamu kwa mapanga na kuchoma moto nyumba za ibada. Sasa sijui huyo ni Mungu kweli anayehitaji msaada wa wanadamu kweli natatizika na huyu jamaa
 
kama waliochoma qurani wameachiwa kwa shindikizo la wanachadema basi mmeula na cuwa

Ndugu kichwa chaki kimejaa CHADEMA hata wasipohusika wewe unataja tu, si ajabu kam umeoa utamwita mkeo, wewe Chadema nakupenda sana
 
Yaani hapa umenena. kwa kweli wamefanya makosa kuwaachia huru hawa wahalifu. Tusiishie hapa tu hebu tuende bali zaidi kwa wale walioua watu pale Muembe Mhai na kule Zanzibar jan 26, 2001. Na ikibidi tuanze na rais wetu mstaafu ndugu mkapa tu. Hapo tutakubali kuwa sheria inachukua mkondo wake. Tusiwe vigeugeu.
 
Jamani ninaomba tuwe makini tuache upotoshaji huu wa dhahiri hata kama ni kwa malengo ya kidini.

Watuhumiwa hao wa "kuchoma Quran" hakuwaachiwa baada ya mazungumzo ya kamati ya usalama ya mkoa
na BAKWATA. Bali ukweli ni kwamba watuhumiwa hao walipewa DHAMANA na mahakama. Kulingana na katiba yetu
makosa ambayo watuhimiwa hawawezi kupewa dhamana ni UHAINI na MAUAJI. Kosa la "kuchoma" Quran haliangukii
katika makosa hayo.

Walichokuwa wana pinga Waislamu ni watuhumiwa kupewa DHAMANA na sio kuachiwa HURU. Waislamu hawaafiki
kuwa watuhumiwa hao "They are innocent until proven guility before the court of law" na kwamba dhamana ni haki
yao ya kimsingi. Hapo ndiyo ngoma inogile.
NAtamani wote tungesoma mchango wa huyu jamaa. Mleta hii thread ni mbeya.
 
Ni wazi serikali ya sasa ya TZ inawaogopa sana waislamu kutokana kushinikiza mambo yao kwa jazba na vurugu.Ndo maana katika misikiti ya Mtambani, Idrisa, Redio Iman, An Nur n.k. wanahubiri chuki dhidi ya wakristo na ukristo bila woga! Hebu tafakari haya: Mtwangi ametunga kitabu akikashifu dini ya Kikristo hajaguswa; Juzi Diamond Jubilee walikusanyika kuhubiri uongo na chuki dhidi ya wakristo hawajakemewa; Bassaleh (katoka Zanzibar) anahubiri nchi igawanywe kati ya waislamu na wakristo hajakemewa. Hakika udini twauona kwa serikali kuruhusu watoto wakike kuvaa hijabu mashuleni waonekane tofauti wakati mavazi hayo hupingwa hata katika nchi za kiislamu kama Turkey na tunisia. sasa wanashinikiza mahakama yao igharamiwe na serikali lakini hawatuelezi haki za wanawake zitasimamiwi vipi au tafsiri ya sheria zao itapatikana vipi? Huu ndo udini na mfumo wa kiislamu. Ndugu zangu tujiulize tunataka ya Afghanistan(taliban), Boko Haram; AlShabab; Mujaheden; Al Qaeda; Somalia; Sudan;Pakistan; Libya; Syria; Saudia; Iran; Iraq? maana kote huko ni mfumo Islamu!
 
Huwa namshangaa mwanadamu sana, awe kiongozi wa nchi, dini, chama cha siasa au awe raia tu asiye na madaraka. Hivi kuwa mfuasi wa dini fulani kuna maslahi gani zaidi ya mtu kuishi maisha yanayompendeza huyo Mungu (mungu) anayesema anamwamini??!! Hii dhana ya udini inatoka wapi na inamanufaa gani kwa kuwa mkristo au mwislam au dini yoyote ile zaidi ya mtu kuishi maisha ya kiroho/matakatifu/yanayompendeza Mungu?? Je hapo hatuzungumzii maslahi binafsi ya kimwili na siyo ya Mungu?

Kwa muda mrefu sana waislamu na wakristo tumeishi pamoja tena kwa kushirikiana kabisa na tunafahamiana kuwa huyu ni mkristo na mimi ni mwislam lakini hakuna shida iliyotokea. Huyu mtu aliyeleta dhana ya udini ametoka wapi, na anamalengo gani. Nikichoma kanisa au msikiti inamanufaa gani kati ya mimi na Mungu kama siyo kuharibiana mali na kuleta uadui na chuki na wala si utakatifuu?? Nikimwua jirani au rafiki yangu kwa sababu anaenda kinyume na ninavyo amini italeta faida gani zaidi ya tu kutoa roho ya mtu isiyo na hatia.

Mnaonaje ndugu zangu kama tukichambua na kutenganisha siasa/maslahi yetu binafsi na imani ya kumwamini Mungu. Mnaonaje ndugu zangu watanzania kama kweli tunaamini yupo Mungu na ana nguvu zote vipi tumwache yeye mwenyewe adeal/ashughurike na wanamdhihaki, kumwuudhi au hata wanaotenda dhambi tumwachie kazi hiyo yeye mwenyewe. kwa nini tumpiganie Mungu? yeye hana nguvu? je ni wa kuchongesha? je ni wa kubuni au kufikirika? Je ni mwanadamu? je dini ni nini basi, Taasisi au ni Mungu? Nani kaileta hiyo dini hadi tuipiganie? Nina maswali mengi sana.

Wanadamu wenzangu msichoke kusoma hoja yangu itatuleta pazuri na kuwadharau hawa wanaotaka kutumia dhana ya udini kwa maslahi yao binafsi na wakisingizia maslahi ya dini yetu, tukatae maana si kweli, dini haipiganiwi!! Mungu hapiganiwi wala hatetewi na awaye yoyote yule. Mungu wetu anajitosheleza, ana nguvu, ana jeshi tena la ushindi, sasa iweje watu wampiganiee?

Hawa wanasiasa walioishiwa hoja twende nao kwa makini sana, maana wanatapatapa. Wao kilicho muhimu ni maslahi yao binafsi na si watanzania, na si amani yetu, na si undugu wetu bila kujali tofauti zetu za kiimani/kidini. Tumeishi muda mrefu bila tatizo hili, leo kwa nini tujiingize kwenye shida ambayo kila mwenye akili anajua kuwa tukiendekeza dhana hii ya udini hakuna atakaye pona vita yake ni mbaya hasa kwa wale wanaotaka kumpigania Mungu wakidhani Mungu anahitaji kupiganiwa - hahitaji!!

hata viongozi wa dini wanaoendekeza dhana hii ya udini tuwakatae tuwaambie hatutaki na hawatufai, tuseme wote kwa pamoja hapana - hiyo siyo sahihiii. Hata kampeni za siasa tusikampeni kwa dhana ya udini haifai watanzania wenzangu, ni siasa uchwara uliokomaa ndugu zangu.

Tusichoke ebu Tuangalie mfano huu wa ki-Biblia: (Ok mimi ni mkristo ninatatoa mifano ninayoifahamu) naamini na ndugu zangu waislamu wanamifano pengine kama hii kwenye kitabu/vitabu vyao

[h=3]udges 6:25-31 (Hapa nilipo sina Biblia ya kiswahili - mnisamehe tu wanajamii)[/h]
English Standard Version (ESV)



[SUP]25[/SUP]That night the LORD said to him, "Take your father’s bull, and the second bull seven years old, and pull down the altar of Baal that your father has, and cut down the Asherah that is beside it [SUP]26[/SUP]and build an altar to the LORD your God on the top of the stronghold here, with stones laid in due order. Then take the second bull and offer it as a burnt offering with the wood of the Asherah that you shall cut down." [SUP]27[/SUP]So Gideon took ten men of his servants and did as the LORD had told him. But because he was too afraid of his family and the men of the town to do it by day, he did it by night.
[h=5]Gideon Destroys the Altar of Baal[/h] [SUP]28[/SUP]When the men of the town rose early in the morning, behold, the altar of Baal was broken down, and the Asherah beside it was cut down, and the second bull was offered on the altar that had been built. [SUP]29[/SUP]And they said to one another, "Who has done this thing?" And after they had searched and inquired, they said, "Gideon the son of Joash has done this thing." [SUP]30[/SUP]Then the men of the town said to Joash, "Bring out your son, that he may die, for he has broken down the altar of Baal and cut down the Asherah beside it." [SUP]31[/SUP]But Joash said to all who stood against him, "Will you contend for Baal? Or will you save him? Whoever contends for him shall be put to death by morning. If he is a god, let him contend for himself, because his altar has been broken down."

Hapo kwenye blue na red ndo mkazo wangu wa hoja yangu. Hivi kama unamwamini Mungu kwanini tunaonekana kama tunampigania - eti maslahi ya dini yetu, yapi hayo. Tuwe wa kweli, ni maslahi yetu na si ya dini yetu - yaani ya Mungu. Mungu anachotaka ni mtu awe mtakatifu kama yeye alivyo mtakatifu na si vinginevyo, zaidi ya hapo ni siasa tu au tunatafuta yaliyo ya kwetu tu.

Mfano wa pili na wa mwisho kwa leo:

1Kings 18:22-39

[SUP]2[/SUP] Then Elijah said to them, “I am the only one of the LORD’s prophets left, but Baal has four hundred and fifty prophets. [SUP]23[/SUP] Get two bulls for us. Let Baal’s prophets choose one for themselves, and let them cut it into pieces and put it on the wood but not set fire to it. I will prepare the other bull and put it on the wood but not set fire to it. [SUP]24[/SUP] Then you call on the name of your god, and I will call on the name of the LORD. The god who answers by fire—he is God.”
Then all the people said, “What you say is good.”
[SUP]25[/SUP] Elijah said to the prophets of Baal, “Choose one of the bulls and prepare it first, since there are so many of you. Call on the name of your god, but do not light the fire.” [SUP]26[/SUP] So they took the bull given them and prepared it.
Then they called on the name of Baal from morning till noon. “Baal, answer us!” they shouted. But there was no response; no one answered. And they danced around the altar they had made.
[SUP]27[/SUP] At noon Elijah began to taunt them. “Shout louder!” he said. “Surely he is a god! Perhaps he is deep in thought, or busy, or traveling. Maybe he is sleeping and must be awakened.” [SUP]28[/SUP] So they shouted louder and slashed themselves with swords and spears, as was their custom, until their blood flowed. [SUP]29[/SUP] Midday passed, and they continued their frantic prophesying until the time for the evening sacrifice. But there was no response, no one answered, no one paid attention.
[SUP]30[/SUP] Then Elijah said to all the people, “Come here to me.” They came to him, and he repaired the altar of the LORD, which had been torn down. [SUP]31[/SUP] Elijah took twelve stones, one for each of the tribes descended from Jacob, to whom the word of the LORD had come, saying, “Your name shall be Israel.”[SUP]32[/SUP] With the stones he built an altar in the name of the LORD, and he dug a trench around it large enough to hold two seahs[SUP][a][/SUP] of seed. [SUP]33[/SUP] He arranged the wood, cut the bull into pieces and laid it on the wood. Then he said to them, “Fill four large jars with water and pour it on the offering and on the wood.”
[SUP]34[/SUP] “Do it again,” he said, and they did it again.
“Do it a third time,” he ordered, and they did it the third time. [SUP]35[/SUP] The water ran down around the altar and even filled the trench.
[SUP]36[/SUP] At the time of sacrifice, the prophet Elijah stepped forward and prayed: “LORD, the God of Abraham, Isaac and Israel, let it be known today that you are God in Israel and that I am your servant and have done all these things at your command. [SUP]37[/SUP] Answer me, LORD, answer me, so these people will know that you, LORD, are God, and that you are turning their hearts back again.”
[SUP]38[/SUP] Then the fire of the LORD fell and burned up the sacrifice, the wood, the stones and the soil, and also licked up the water in the trench.
[SUP]39[/SUP] When all the people saw this, they fell prostrate and cried, “The LORD—he is God! The LORD—he is God!”

Mwisho: Kwa habari ya dini zetu tushindanishe hoja kama zilivyo kwenye vitabu vyetu vya dini tena kwa amani bila kumdharau mwingine wa upande wa pili, maana siyo sisi tunao weza wafanya wanadamu wamwamini Mungu kwa hila au hisia zetu bali ni kwa nguvu za Mungu ndani ya mwanadamu. Tuachane kabisa na dhana ya udini itatugharimu sisi sote, siyo mchezo mzuri wa wanasiasa na hata viongozi wanaotafuta maslahi binafsi wameishiwa sera za siasa na hata za dini. Tuwakatae. Tudumishe umoja na amani. Tujenge hoja za kuleta maendeleo na siyo za kutugawa na kurudisha maendeleo. Viongozi wa dini tusi kubali kununuliwa na wanasiasa wa chama chochote chenye kutaka kutugawa kwa misingi ya udini (na hata ukabila, ukanda, au chochote kile)

Naipenda Tanzania, nawapenda watanzania bila kujali dini gani au chama gani au kabila gani au mkoa gani wanatoka, sisi sote ni watanzania wana wa Afrika.

Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Afrika

Nawasilisha


 
Jamani ninaomba tuwe makini tuache upotoshaji huu wa dhahiri hata kama ni kwa malengo ya kidini.

Watuhumiwa hao wa "kuchoma Quran" hakuwaachiwa baada ya mazungumzo ya kamati ya usalama ya mkoa
na BAKWATA. Bali ukweli ni kwamba watuhumiwa hao walipewa DHAMANA na mahakama. Kulingana na katiba yetu
makosa ambayo watuhimiwa hawawezi kupewa dhamana ni UHAINI na MAUAJI. Kosa la "kuchoma" Quran haliangukii
katika makosa hayo.

Walichokuwa wana pinga Waislamu ni watuhumiwa kupewa DHAMANA na sio kuachiwa HURU. Waislamu hawaafiki
kuwa watuhumiwa hao "They are innocent until proven guility before the court of law" na kwamba dhamana ni haki
yao ya kimsingi. Hapo ndiyo ngoma inogile.

Unatamani kujionesha makini lakini hujafanikiwa. Mimi sijazungumzia kuachiwa kwa watuhumiwa wa kuchoma kurani kwa dhamani. Ni haki yao. Mimi

nazungumzia kuachiwa huru kwa washukuwa/watuhumiwa wa fujo waliokuwa wamekamatwa mara baada ya kuleta fujo wakipinga kuahirishwa

kwa kesi ya hao mabwana. Hawakuachiwa kwa dhamana. Bali kwa makubaliano. Na napinga hiko
 
NAtamani wote tungesoma mchango wa huyu jamaa. Mleta hii thread ni mbeya.

Usikurupuke mkuu. Soma thread uielewe. Ipo tofauti ya thread yangu na alichoandika uliyemkoti. Sasa uwe makini kuealewa hoja. Ni kwa nanma hii

tumekuwa na mikataba hovyo. Badala ya kusoma na kuelewa hoja ndio u-act mtu unajiamulia tuu
 
hatuwezi tetea wahalifu eti kwasababu tumeepusha vurugu leo.lazima wahuni washughulikiwe bila kuangalia wao ni wakristo ama waislamu,bila hivyo sijui watawala wetu wanatupeleka wapi!!!

Waislamu sio wahuni wahuni ww lema na dr mbowe na wenzake
 
Back
Top Bottom