KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nashindwa kuelewa! Unakuta wanawake wengi baadhi wanadanga, na wengine wanahangaika kupata watu hata wakuwachumbia au hata wakuwaoa.
Sasa mimi najiuliza nini kilichojificha hapo? Hadi wanaume wanakuwa wanachomoa? Au ni handles maana unakuta mwanamke anahaha hata kwa waganga kutafuta mwanaume wakumuoa lakini masikini hapati.
Je ni wapi wao huwa wanakosea mpaka wanakosa? Maana wenye uhitaji wa kuoa niwengi! Maana wengine wana kazi nzuri na wengine wanakipato lakini wamekosa waume je nini kinashindikana?
Ni wapi wanakosea? Twambieni nyie mliopata mlitumia tekniki gani mpaka mkapata. Ili tujue Uwanja ndiyo huu maelezo ni yenu.
Sasa mimi najiuliza nini kilichojificha hapo? Hadi wanaume wanakuwa wanachomoa? Au ni handles maana unakuta mwanamke anahaha hata kwa waganga kutafuta mwanaume wakumuoa lakini masikini hapati.
Je ni wapi wao huwa wanakosea mpaka wanakosa? Maana wenye uhitaji wa kuoa niwengi! Maana wengine wana kazi nzuri na wengine wanakipato lakini wamekosa waume je nini kinashindikana?
Ni wapi wanakosea? Twambieni nyie mliopata mlitumia tekniki gani mpaka mkapata. Ili tujue Uwanja ndiyo huu maelezo ni yenu.