marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
Eti huyu naye ni great thinker, lol !!! We unawezaje kwenda mahali bila kujua hata unachoitiwa. Kweli waswahili hawakukose waliposema wajinga ndio waliwao.
Hata mie nashangaa!!
Eti huyu naye ni great thinker, lol !!! We unawezaje kwenda mahali bila kujua hata unachoitiwa. Kweli waswahili hawakukose waliposema wajinga ndio waliwao.
Piga yowe
Kweli wewe ni teja lililokufa kama jina lako lilivyo, hufikirii tena!!!
Ha ha haa I really appreciate your honesty mkuu... ni kweli usikatae wito (especially kama una muda..)Jaman mi ndo natoka UP hapa. Nimesoma mlichochangia na kama kawaida kuna watu wa kutoa kashfa tu bila solutions. Simu nilipigiwa na dada mwenye sauti nzuri tu na mpole kutokana na sauti yake. Alinisisitizia tu kwamba nisikose kufika na nitamfahamu mara nikifika, (na mama hakunifunifundisha tabia mbaya ya kukataa wito hasa kutoka kwa kinadada) nilipofika hakuwa anapatikana kwenye simu lakini watu walikuwa wengi na nikajua something is going to happen for sure, but not a 'date'. Mara nikasaikia mdundo mzito wa muziki, na nikaamua kuwataarifu ili kama kuna mtu anyefahamu tukio hili anijuze. Ni kweli Great Thinkers wazuri wamenijuza kuwa ni GNLD and it's true na wale walionitisha kuwa ni al-Shaabab, washindwe na wale walioniambia kuwa nina njaa, ni kweli kabisa ninayo tena kali.
Hiki ndo kizaz cha ki Tanzania jitu linajibeba kama kiroba linaenda sehem halijui linafata nn likifika linauliza wasiokuwepo hapo eti nimeitiwa nn?
Jaman mi ndo natoka UP hapa. Nimesoma mlichochangia na kama kawaida kuna watu wa kutoa kashfa tu bila solutions. Simu nilipigiwa na dada mwenye sauti nzuri tu na mpole kutokana na sauti yake. Alinisisitizia tu kwamba nisikose kufika na nitamfahamu mara nikifika, (na mama hakunifunifundisha tabia mbaya ya kukataa wito hasa kutoka kwa kinadada) nilipofika hakuwa anapatikana kwenye simu lakini watu walikuwa wengi na nikajua something is going to happen for sure, but not a 'date'. Mara nikasaikia mdundo mzito wa muziki, na nikaamua kuwataarifu ili kama kuna mtu anyefahamu tukio hili anijuze. Ni kweli Great Thinkers wazuri wamenijuza kuwa ni GNLD and it's true na wale walionitisha kuwa ni al-Shaabab, washindwe na wale walioniambia kuwa nina njaa, ni kweli kabisa ninayo tena kali.
Hata kama there was harm..., there is no harm (sababu bila kufanya makosa sometimes hajui ni nini kinafanya kazi na nini hakifanyi..., we learn through mistakesSawa, lakini mi nilifikiri kwa kuwa ni dame then there's no harm. Si unajuwa tena men are suckers? Hata hivyo, there was no harm kwa kweli.
Haaa Forever living wanauzi sana hao watu,wabongo wanashawishiwa eti kisa kuna kijana wa UDSM anaitwa E.S amepata kama 180mil sasa kila mtu anataka kwenda,sijawahi shawishika na upu.pu wao huo.
Ukishajua umeitiwa nini utujuze!
Nashukuru sana mkuu, na nimejifunza kuhusu wana-JF ambao wao wanajiona kama miungu fulani hivi, hawakosei. Wana-crash na matusi kiasi. Hapa JF ni jukwaa la wote, kama huna cha kuchangia soma tu uache, si lazima kuchangia.Ha ha haa I really appreciate your honesty mkuu... ni kweli usikatae wito (especially kama una muda..)
Nadhani wanaokupinga wanasahau kwamba.. "Even a Genius Asks Questions".., Big up mkuu thanks for sharing na penye wengi habaharibiki neno.., as of that GNLD or any other network marketing its not as easy as they proclaim.., labda kama unajiunga sababu ya products (they have a few good products though overpriced) lakini kama unajiunga ili kuondoa umasikini you might be disappointed.
hao ni forever. hao jamaa wanatembeza bidhaa mitaani. wanamaneno mengiii!. wanauza bidhaa za alovera. ofisi zao zilikuwa pale kinyama/ makumbusho millenium tower, sasa hivi wamehamishia hapo Ubungo. wanafanya kazi eti saa za ziada.
Huyo E.S ni Enos Salema?
Nimewasikiliza kwa umakini na yule dada aliyenipigia simu ndo alikuwa mshawishi mkubwa pale. Nilionesha kumkubalia sababu mzuri na sikupenda kum-disappoint, lkn I'll never go there again for the same issue.Vipi ume shawishika kujiunga nao?
Ni kijana wa miaka 27, very sucssessful indeed, or so he claims.ni GNLD INT hao,hata mi nilipewa huo mwaliko nikachapa lapa,nasikia kuna jamaa wa uganda analipwa 20m per month ndo anakuja kutoa ushuhuda on how to make huge money within a short period.
Itamsaidia nini akipiga yowe?