Ni nini hatima ya kanisa la Feel free?

Ni nini hatima ya kanisa la Feel free?

Mshana unautumia vibaya umaarufu wako hapa jf kuliendeleza hili jambo ila utakuja kuvuna matokeo yake.

Hapa jukwaani huwa wanakuona wewe mtaalamu wa mambo ya rohoni ila mimi huwa nakuona mweupe sana

Hivi unapata wapi ujasiri wa kutuhumu watumishi wa Mungu hadharani namna hii?

Anyway, utakuja kuvuna unachopanda.
Masanja fanya utubu
 
Huyu kijna katibu mbali ya kuwa katibu Bali alikuwa ni mc wa. Shughulinza shereheView attachment 2387418View attachment 2387419View attachment 2387420View attachment 2387421
Screenshot_20221014-214325.jpg
 
sikiliza Mkuu, we bado mchanga kwenye baadhi ya vitu kwepa aibu ndugu...unajiaibisha wewe,wazazi na familiya yako.

kwa kifupi inaonekana bado hujajua kwanini sehemu kubwa ya watu wanamfakamia Masanja...inshort jamaa anadharau za kichoko changanya na unabii wa kimchongo ndo unamuangusha kabisa

Majigambo yakipumbavu anayojitahidi kuyaonyesha mbele za watu na kuwaona wengine wanaohangaika na maisha na bado hawajafanikiwa kama ni wazembe

Ni much know mmoja hivi ambaye bado hajajijua kuwa ni limbukeni na mshamba wa maisha

Karma is a bitch...!!

hizi ni baadhi ya sehemu mbalimbali tulizowahi fanya aidha majadiliano,story ama shughuli kadhaa wa kadha na picha nyingine ni ziada tukifanya kazi na wengi wa watu wengine very humbe eg. Joti, hivyo Masanja namjua vyema

View attachment 2387302
View attachment 2387303View attachment 2387304
Hii nayo ni mada mpya au inauhusiano na post au tukio. Masanja kuwa humble au dharau hakuna uhusiano na tukio ,kwa wengine tusio fahamu chochote tunaona mnalenga kumchafua tu
 
sikiliza Mkuu, we bado mchanga kwenye baadhi ya vitu kwepa aibu ndugu...unajiaibisha wewe,wazazi na familiya yako.

kwa kifupi inaonekana bado hujajua kwanini sehemu kubwa ya watu wanamfakamia Masanja...inshort jamaa anadharau za kichoko changanya na unabii wa kimchongo ndo unamuangusha kabisa

Majigambo yakipumbavu anayojitahidi kuyaonyesha mbele za watu na kuwaona wengine wanaohangaika na maisha na bado hawajafanikiwa kama ni wazembe

Ni much know mmoja hivi ambaye bado hajajijua kuwa ni limbukeni na mshamba wa maisha

Karma is a bitch...!!

hizi ni baadhi ya sehemu mbalimbali tulizowahi fanya aidha majadiliano,story ama shughuli kadhaa wa kadha na picha nyingine ni ziada tukifanya kazi na wengi wa watu wengine very humbe eg. Joti, hivyo Masanja namjua vyema

View attachment 2387302
View attachment 2387303View attachment 2387304
Ukweli usemwe !!
 
Mzee baba mbona umemuandama sana Masanja?

Una maslahi gani kinzani naye?
Watu8 natambua ukongwe wako hapa JF! Nimekukuta hivyo naamini una ukomavu wa kiakili kimtazamo na kimaono.. JF inatukuza kwa namna hiyo ndio maana ni rahisi sana kutambua post ya mgeni halisi na mgeni mwenyeji kwa muktadha wa utambulisho wetu

JF ni forum huru kwa sheria, vigezo na masharti yake! Imejijenga na kujipambanua kwa namna ambayo imekuwa tegemeo la wengi na chanzo muhimu cha taarifa kwa yale yote yanayotokea kwenye jamii

Mimi ni mwandishi mchambuzi ninayependa kuangalia kila tukio na kila habari kwa engo zote ili kukidhi mahitaji ya kila mmoja.. Nikiri wazi napenda kuandika

Sina maslahi kinzani na Masanja bali nina maslahi na wale wote wanaopenda kujifunza kupitia makosa ya wengine.. Nami pia hujifunza kupitia maandiko ya wengine
Kwenye hii ishu ya Masanja wengi wameandika mengi, kwa kulaumu,kwa kudhihaki kubeza umbea nknk.. Nimepitia mabandiko karibia mane nami nikaandika mada tatu ukiacha hii

Baadhi ya mada ziliishia level ya kawaida ya kuonesha chuki kwa masanja kutokana na hulka yake huko nyuma! Kumbuka kwenye mapito yetu maishani tunaacha footprints mioyoni mwa watu ambazo huwa hazifutiki.. Na siku ya siku ikifika watu watazirudufu nyayo zako upenuni kwa wema ama kwa ubaya!
Nimechagua kwa makini sana kwenye mada zangu nne maneno ya kuandika ili kuepusha hisia za kinyongo, rohombaya, wivu nk.. Na pia kuepesha marudio ya mada huku nikijaribu kuangazia kila upande wa tukio zima ili kuitendea haki dhana nzima ya home of great thinkers

Kila habari huwa na miguu minne
1. Tetesi- hii inaweza kujulikana ama kutojulikana na wengi mitandaoni

2.Ithibati ya tetesi ambayo hugeuka kuwa kamili ambayo .. Hapa ndio huwa kuna breaking news! Na ndio kipindi ambacho kila mtu huandika chochote

3. Habari kuwa ya kawaida na watu kurudi kwenye tukio husika na kuanza sasa kulichambua kwa ladha na vionjo mtu apendavyo..!

4. Kuelekea tamati ya tukio, hapa wengi hawana habari tena kwakuwa walishaandika na kumaliza... Lakini kuna wale wa kufanya majumuisho na kuangalia nini kiliachwa na kwa sababu gani kiliachwa na je kinafaa kufanyiwa mjadala kwa manufaa ya wengi kama sio wote?

Mada zangu nne kwenye sakata zima linalomgusa Masanja kama key player zimezingatia huo mtitiriko na sina mada nyingine zaidi ya hii kwenye hili labda litokee tukio lingine jipya ndani ya tukio kuu
Mada ya kwanza ilimhusu katibu


Katibu katibua au katibuliwa?

Mada ya pili ilikuwa ni mwendelezo wa mada ya kwanza


Part 3 sakata la Katibu: Kitendawili hakijatenguliwa bado. Je, Katibu katibua ama katibuliwa?

Mada ya tatu ilihusu utata wa watoto


Sura zetu hutuonea haya na kutusuta

Na ya nne inahusu kanisa! Ukiangalia hakuna heading inamtaja Masanja hata moja

Naamini nimetoa ufafanuzi mzuri
 
Watu8 natambua ukongwe wako hapa JF! Nimekukuta hivyo naamini una ukomavu wa kiakili kimtazamo na kimaono.. JF inatukuza kwa namna hiyo ndio maana ni rahisi sana kutambua post ya mgeni halisi na mgeni mwenyeji kwa muktadha wa utambulisho wetu

JF ni forum huru kwa sheria, vigezo na masharti yake! Imejijenga na kujipambanua kwa namna ambayo imekuwa tegemeo la wengi na chanzo muhimu cha taarifa kwa yale yote yanayotokea kwenye jamii

Mimi ni mwandishi mchambuzi ninayependa kuangalia kila tukio na kila habari kwa engo zote ili kukidhi mahitaji ya kila mmoja.. Nikiri wazi napenda kuandika

Sina maslahi kinzani na Masanja bali nina maslahi na wale wote wanaopenda kujifunza kupitia makosa ya wengine.. Nami pia hujifunza kupitia maandiko ya wengine
Kwenye hii ishu ya Masanja wengi wameandika mengi, kwa kulaumu,kwa kudhihaki kubeza umbea nknk.. Nimepitia mabandiko karibia mane nami nikaandika mada tatu ukiacha hii

Baadhi ya mada ziliishia level ya kawaida ya kuonesha chuki kwa masanja kutokana na hulka yake huko nyuma! Kumbuka kwenye mapito yetu maishani tunaacha footprints mioyoni mwa watu ambazo huwa hazifutiki.. Na siku ya siku ikifika watu watazirudufu nyayo zako upenuni kwa wema ama kwa ubaya!
Nimechagua kwa makini sana kwenye mada zangu nne maneno ya kuandika ili kuepusha hisia za kinyongo, rohombaya, wivu nk.. Na pia kuepesha marudio ya mada huku nikijaribu kuangazia kila upande wa tukio zima ili kuitendea haki dhana nzima ya home of great thinkers

Kila habari huwa na miguu minne
1. Tetesi- hii inaweza kujulikana ama kutojulikana na wengi mitandaoni

2.Ithibati ya tetesi ambayo hugeuka kuwa kamili ambayo .. Hapa ndio huwa kuna breaking news! Na ndio kipindi ambacho kila mtu huandika chochote

3. Habari kuwa ya kawaida na watu kurudi kwenye tukio husika na kuanza sasa kulichambua kwa ladha na vionjo mtu apendavyo..!

4. Kuelekea tamati ya tukio, hapa wengi hawana habari tena kwakuwa walishaandika na kumaliza... Lakini kuna wale wa kufanya majumuisho na kuangalia nini kiliachwa na kwa sababu gani kiliachwa na je kinafaa kufanyiwa mjadala kwa manufaa ya wengi kama sio wote?

Mada zangu nne kwenye sakata zima linalomgusa Masanja kama key player zimezingatia huo mtitiriko na sina mada nyingine zaidi ya hii kwenye hili labda litokee tukio lingine jipya ndani ya tukio kuu
Mada ya kwanza ilimhusu katibu


Katibu katibua au katibuliwa?

Mada ya pili ilikuwa ni mwendelezo wa mada ya kwanza


Part 3 sakata la Katibu: Kitendawili hakijatenguliwa bado. Je, Katibu katibua ama katibuliwa?

Mada ya tatu ilihusu utata wa watoto


Sura zetu hutuonea haya na kutusuta

Na ya nne inahusu kanisa! Ukiangalia hakuna heading inamtaja Masanja hata moja

Naamini nimetoa ufafanuzi mzuri
Much respect Sana mkuuu kwa majibu yako ambayo na mm nilidhani umekazania masanja kumbee una hoja zako nzito Sina Cha kuongeza nasubiria utekelezaji wa vyombo vya serekali naomba unitag siku jeshi likitoa taarifa kamili
 
Hii nayo ni mada mpya au inauhusiano na post au tukio. Masanja kuwa humble au dharau hakuna uhusiano na tukio ,kwa wengine tusio fahamu chochote tunaona mnalenga kumchafua tu

kajichafua mwenyewe.....tumuache ayaoge matope vyema!!

kibri,dharau na majigambo kujiona kama yeye kashaandikiwa ni wapeponi........

majisifa ya kujifanya kayapatia sana maisha na kuforce kuwa tozo zisizokuwa na kichwa wala miguu ziendelee kuwepo akiona sisi twazikataa kisa ni wazembe tumejifelia maisha.....wacha dunia imfunze kwanza

nadhani kapata fundisho ila bado anakaza ubongo, anajua akikubali defeat yale masifa yote tutayaona yalikuwa maigizo

1.Kaliwa mke aliyekuwa akimsifia kuwa ni malaika
2. Kifo cha katibu wake kina mlenga kwa kila nadharia za kichunguzi na kijasusi kivyovyote vile

nakuapia ingelikuwa tukio sawa limemtokea Joti watu wengi wangelisimama naye
 
kajichafua mwenyewe.....tumuache ayaoge matope vyema!!

kibri,dharau na majigambo kujiona kama yeye kashaandikiwa ni wapeponi........

majisifa ya kujifanya kayapatia sana maisha na kuforce kuwa tozo zisizokuwa na kichwa wala miguu ziendelee kuwepo akiona sisi twazikataa kisa ni wazembe tumejifelia maisha.....wacha dunia imfunze kwanza

nadhani kapata fundisho ila bado anakaza ubongo, anajua akikubali defeat yale masifa yote tutayaona yalikuwa maigizo

1.Kaliwa mke aliyekuwa akimsifia kuwa ni malaika
2. Kifo cha katibu wake kina mlenga kwa kila nadharia za kichunguzi na kijasusi kivyovyote vile

nakuapia ingelikuwa tukio sawa limemtokea Joti watu wengi wangelisimama naye
nakuapia ingelikuwa tukio sawa limemtokea Joti watu wengi wangelisimama naye
 
Tunamalizia wiki iliyokuwa na drama nyingi kuhusiana na mwajiriwa wa Msanii Masanja mkandamizaji kwa cheo cha katibu kwenye shughuli zake za usanii na kanisa aliyepoteza uhai kwa kinachosemwa kajinyonga

Asilimia 99 ya mijadala ilitawaliwa kwenye kujadili yafuatayo
.Kifo tata cha katibu
.Mahusiano ya katibu na mke wa boss wake
.Reaction ya Masanja baada ya hayo matukio
.Na mwishowe watoto wa Masanja na mkewe

Athari kwenye shughuli zake za kisanii ni kama hazikugusiwa kabisa
Athari kwenye makampuni aliyoingia nayo mikataba ya kufanya matangazo ya kibiashara pia hayakujadiliwa kabisa
Athari kwenye kituo chake cha kiimani/kanisa pia zimejadiliwa kwa uchache
Kwenye mijadala husika na wachache walijaribu kugusia athari binafsi na za kifamilia

Kwenye mada hii tutaangazia athari za kanisa la Feel free church na hatima yake
Ukiachana na Makanisa yaliyojengwa kitaasisi na mifumo kamili ya utendaji kazi, makanisa mengi hasa yaliyoibuka karne hii yenye kumilikiwa na watu binafsi, yalipotea, kufa, kupoteza mvuto, kuzorota ama kufifia kutokana na wamiliki wake kupata dhoruba mbalimbali za kimaisha

Makanisa ya Marehemu mama Rwakatare, Nabii Elijah, Mzee wa upako, Mfalme Zumaridi ni mifano michache ya hicho nilichokiandika hapo juu kwa hapa nchini.. Kwakuwa wao ndio roho ya kanisa, basi kilichowapa wao kililipata kanisa pia

Kanisa la msanii Masanja mkandamizaji, lililoanza kama utani, ni kanisa changa lililokumbwa na upepo wa dhoruba kutokana na mmiliki wake kukumbana na changamoto za kimaisha. Achana na uchanga wake yeye ndio alikuwa mkuu wa hilo kanisa na shughuli zote nyeti na muhimu zilikuwa chini yake kama makanisa mengine ya namna hiyo yalivyo
Yaani ustawi wa kanisa, kukua na kushamiri kwake vyote vilikuwa mikononi mwa mwanzilishi wake.. Maombi, mahubiri, maono, na shughuli zote za kiroho vilikuwa mateka chini ya roho moja!

Msiba wa katibu wa Masanja ulikuwa msiba wa kanisa! Kama kulikuwa na katibu ina maana basi kulikuwa na viongozi wengine wa kukaimu na kukasimu madaraka pindi wakubwa wakiwa hawapo! Kanisa la jisikie huru lilipaswa kuonekana popote kivyovyote kwenye jambo kubwa kama hilo la msiba bila kujali yatokanayo!

Kwa kutofanya hivyo kanisa limejitia doa kubwa na baya mbele ya jamii na watu wachache waliokuwa na imani nalo! Kwa kuzidi kuharibu mmiliki akashindwa kutofautisha mambo binafsi ya kifamilia na ya kanisa lake! Akaenda huko mbele ya waumini wake na kuanza kuwapa vichambo vya uhakika wote walioshiriki mijadala mitandaoni kuhusiana na sakata zima!

Taswira nzima ya kanisa ilipigwa upofu pale! Na inawezekana lile likawa ndio kusanyiko la mwisho ama la lenye waumini wengi! Jumapili hii ndio itatoa majibu na hata kama wakiwepo wengi ni kwa ajili ya kwenda kushuhudia umbea

Kashfa na tuhuma zilizomkuta Masanja zinaathiri moja kwa moja shughuli zake zote za kisanii lakini kubwa na baya zaidi kanisa lake
Kashfa na tuhuma hizi ni tofauti na zile zilizowahi kuwapata wamiliki wa yale makanisa mengine kama kina
Zumaridi kupigana maofisa wa serikali
Mzee wa upako na ulevi
Gwajima na uzinzi
Geodavie na uchawi nknk
Hili la Masanja ni tuhuma za mauaji na mazingira tata ya kifo husika na ishu za kifamilia..! Imekaa vibaya mno!

Kwa jicho la kiimani na kiroho tunaweza kusema ni changamoto na jaribu la kiimani..! Lakini kwa tafakuri nyepesi kabisa ni huduma ipi kubwa ya kiroho aliyowahi kuifanya kiasi cha kumtikisha shetani hata aamue kulipa kisasi!?

Hatima ya kanisa la jisikie huru limo mikononi mwa suluhu ya kiroho kama Masanja mkandamizaji na familia yake hawana vinasaba na damu ya mtendaji wake katibu wake! Damu ya mtu hunuka., na harufu yake hutiwa chaji na roho iliyomo ndani yake... Roho ni kitu kisichokufa hivyo huibeba damu yake kutengeneza mizania ya haki..
IKAWA ASUBUHI IKAWA JIONI SIKU YA NNE
 
Nadhani mke wa masanja atafutiwe watu wa kumshauri asirudie upumbavu maana unamcost masanja kwenye kila angle. Masanja amekua muungwana sababu angeamua vinginevyo ndio angechafua zaidi kanisa na yeye mwenyewe hivyo kaamua kuibeba aibu yote na alijua inawezekana kabisa mkewe alikua analiwa na katibu
Siyo inawezekana, ila alikuwa anatafunwa mpaka kiboga.
 
Back
Top Bottom