Ni Nini Hasa Mwanamke Anahitaji?


Well said mkuu.
 

Duh!

Kweli binadamu tuko so complex.

i am learning kwamba kuna exceptional cases ambazo hata ufanyaje hakuna kinachoweza kubadilika.
 

Noted with appreciation.
 

Noted with thanks.
 

Asante Chauro.

Noted with appreciation.
 
LD ningekuwa single ninge ku-PM! Napenda mtazamo wako!!

 
..Kwa kweli sijui..nini hasa mwanamke anahitaji..ni ngumu kutambua...Mungu aninusuru na ndoa yangu hii changa loh...
 
Hii point yako no. 6 sita hainisaidii chochote kama hutaki kuniheshimu na kuona utu wangu uko wapi. Heshima iko wapi hapo, kunisikiliza katika maamuzi iko wapi hapo??? Na huwezi kunipa kila kitu bana

Ni kweli Dena, kitu anachokitafuta Superman siyo rahisi kukijua.
Kuna vitu ambavyo wanawake in general wanavipenda, na vingine viko kibinafsi. Haiwezekani afanyiwe kila kitu, asiridhike (labda ana jini mahaba).
Hiyo point No. 6 siyo suluhisho la kila kitu. Pengine hampi vizuri kitandani.
Mimi, wewe wala Superman hatuwezi shuhudia hilo!
 

jamaa ajichunguze inawezekana huduma anayotoa kunako 6*6 haimridhishi wife au anamsimanga kwa material support anayompa
 

Kuna baadhi ya conclusions za wataalam wa mambo ya kisaikolojia na mahusiano ,huwa ninazikubali;

  1. Women they do'nt make sense
  2. You will never know with women
so watch out!
 
Superman: naomba nitoe maoni yangu kama ifuatavyo:

1. Sio wanawake/wanaume wote wanaweza kuishi ndani ya ndoa - au wio wote waolewaji/waoaji - kuna play boys na play gals - yaani wanapenda free life - ndoa ina masharti na miiko yake

2. Inawezekana mwanamke huyo haja - fall in love - bado - ndio maana ana mume bado ana hangaika na wengine watatu - na huenda akaongeza hadi siku atakapo - fall in love - yaani kupenda toka moyoni - kama wasemavyo - KIPENDA ROHO HULA NYAMA MBICHI - hapo hatajali amepata mahitaji yote au baadhi tu - atatulia na huyo aliyemweka moyoni

3. Inawezekana hakumpenda jamaa toka mwanzo - aliolewa kwa ushabiki tu................. kufurahisha familia yake, umma kwa ujumla - na aingie kwenye chart ya - NDOA

4. Au hana roho wa Mungu - kama yule mwanamke kwenye Bible - alikutana na Yesu kisimani - alipoambiwa kamwite mumeo - alijibu sina - na Yesu akamwambia umejibu vyema - kwani hata huyo uliye naye SIE WAKO - ina maana alikuwa nao wengi - na hata waume wa watu - saa ingine hii ni spiritual issue - hajafunguliwa moyoni bado - kujua MEMA na MABAYA - SHETANI AMEMPOFUSHA MACHO - YEYE MAMBO YOTE SAWA TU - MRADI MAISHA

hope kidogo utapata picha.:thinking:
 

mister, hiyo nyekundu.. anamridhisha kwa kiasi gani.(DEGREE)..?kimsingi ndoa si matunzo ya pesa tu kuna mambo mengi sana! yawezeka kuna tatizo kule "CHUMBANI" na hii si kwa Wanawake tu bali hata Wanaume pia! usiporidhika chumbani hata kama Lunch unakula majuu na kurudi kulala bongo kila siku, kama uko mbali na Mungu utaSEPA tu na KISUNGURA! hebu jaribu kuchunguza huyo bwana anatatizo gani? Mara nyingi wanaume tulio wengi tunafikiri kumpa mke vitu vya thamani na mali nyingi vinatosheleza kumtuliza hata kama hatutatimiza mahitaji ya KIMWILI-which is very wrong! nachelea kutembelea KIATU kimoja, mke yeye anasema kuna tatizo gani??
 

Hapo kwenye nyekundu hapana allow me to say NO (with capital n and o)...ila hapo kwenye blue tuko pamoja.
 
Ukweli ni kwamba complete satisfaction is impossible.
Bali kwa hofu ya kumkasirisha Mungu ndio inawezekana kuzuia tamaa zisizo za msingi kwa wanadamu

well said shemeji. Nikuandalie kinywaji gani?
 
The great question... which I have not been able to answer... is,"What does a woman want?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…