Ni nini hasa kiini cha chuki za viongozi wa TEC dhidi ya viongozi wa kiisilamu hasa wa Serikali Kuu?

Ni nini hasa kiini cha chuki za viongozi wa TEC dhidi ya viongozi wa kiisilamu hasa wa Serikali Kuu?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,834
Maana ni wazi ukitazama kwa umakini body language, facial expressions and tones za viongozi wa TEC hasa rais wa baraza hilo na katibu mkuu wake, utabaini na kukubaliana na mimi kwamba viongozi hawa kabisa hawana hoja za msingi, wana chuki ya kiwango cha juu mno na dini ya viongozi wakuu wa Taifa letu.

Na ndio kwa maana hata mazungumzo na maelezo ya mara kwa mara ya viongozi hawa wa TEC, yanalenga migawanyiko, chuki na kuwaongoza waamini na wafuasi wa TEC nao kuwachukia viongozi wasio wa dini inayofanana na yao watu ili hatimae kusababisha fujo, vurugu na uvunjifu wa amani wa amani wa taifa letu.

Kama mdau wa JF,
unadhani ni nini hasa chimbuko la chuki za TEC dhidi ya viongozi wakuu wa serikali hasa waisilamu?
Je, tuamini kwamba TEC na taasisi za aina hiyo Africa ndio chanzo cha changamoto ya amani Africa?
Kwanini watu hawa hawapendi amani?


Mungu Ibariki Tanzania.
 
Wewe ni mmbulu fala kuliko wote, jifunze kwa dokta slaa. Tukirudi kwenye mada viongozi wa TEC wanachuki na maovu, huwa hawachagui utawala Magufuli mwenyewe walimnyoosha alivyokuwa anaua watu kibiti, pia Lissu kupigwa risasi Dodoma na TEC iliongea, tofauti na masheikh wetu TEC wenyewe huwa hawataji ukristu wala uislam kwenye hoja zao nadhani hii pia, inachangiwa na ukweli kwamba baraza limeundwa na madokta wengi wadarasani sio wa heshima.

Hoja za TEC ni hizi:
1. Mauaji ya watu wasio na hatia bila kujali dini, itikadi za kisiasa, wala ukanda hamna aliokiri wanataka maridhiano bila kukiri. Ukweli kwamba waliouawa wengi walifuatwa majumbani kwao hawakuwa waandamanaji. Hili swala tusilichukulie juu juu, hii inaweza kumtokea mtu yeyote hata mimi au wewe isipokuwa viongozi, ambao huwa wanapeana taarifa wakajifiche hotelini.

2. Utawala wa sheria: mtu anatibiwa kwanza kama kapigwa risasi kisha sheria ifate baada ya matibabu sio kuwapeleka mochuari moja kwa moja majeruhi, wasijichunguze wanaoshutumiwa na mauaji.

3. Msamaha wa kodi unaopata katoliki: Kaelezea ulianza kipindi Tanganyika inapata uhuru, Katoliki ilikuwa na mashule na hospitali nyingi kuliko serikali ndio wakaandikishana kupata msamaha wa kodi kwa sababu inasaidia majukumu ya serikali haijaanza leo, hamna hela kanisa linapata kutoka serikalini.
 
Ondoa usengerema hapa.

Chuki mnaileta nyinyi vibaraka wa CCM kupitia tawi lake la BAKWATA.

Mimi ni muislam na ninaamini pasi na shaka kuwa TEC hawana chuki yeyote na uislam na kila tamko lao ni kwa maslahi mapana ya nchi nzima.

Yani mpumbavu mmoja kwa tamaa na uchu wake wa madaraka amwage damu za raia halafu kirahisi rahisi tu ajifiche nyuma ya mgongo wa dini. BULLSHIT.
 
Kama TEC wangekuwa hawajawahi kumsema na kumkosoa Magufuli mkristo na mkatoliki mwenzao basi at least ungekuwa na hoja.

Ila kwa kuwa TEC walimsema sana na kumkosoa Magufuli akiwa mkristo na mkatoliki mwenzao hoja yako inakosa mashiko.
 
Maana ni wazi ukitazama kwa umakini body language, facial expressions and tones za viongozi wa TEC hasa rais wa baraza hilo na katibu mkuu wake, utabaini na kukubaliana na mimi kwamba viongozi hawa kabisa hawana hoja za msingi, wana chuki ya kiwango cha juu mno na dini ya viongozi wakuu wa Taifa letu.

Na ndio kwa maana hata mazungumzo na maelezo ya mara kwa mara ya viongozi hawa wa TEC, yanalenga migawanyiko, chuki na kuwaongoza waamini na wafuasi wa TEC nao kuwachukia viongozi wasio wa dini inayofanana na yao watu ili hatimae kusababisha fujo, vurugu na uvunjifu wa amani wa amani wa taifa letu.

Kama mdau wa JF,
unadhani ni nini hasa chimbuko la chuki za TEC dhidi ya viongozi wakuu wa serikali hasa waisilamu?
Je, tuamini kwamba TEC na taasisi za aina hiyo Africa ndio chanzo cha changamoto ya amani Africa?
Kwanini watu hawa hawapendi amani?


Mungu Ibariki Tanzania.
IMG_20251203_181938.jpg


Kama unaakili japo kidogo utabaini kuwa wanapinga mambo kama hayo hapo, wakati BAKWATA wanamramba miguu Mwendakuzimu Jiwe TEC ndiyo walikuwa wanaopambana naye.
The point is mashehe(sadly saying this) hawana akili, hizo juzuu peke yake bila ya kuifahamu dunia na kuifahamu mifumo kunawa-limit uwezo wa kuchanganua mambo jambo ambako linapelekea kuwalisha matango-pori waumini wao. Mtu akipinga mienendo fulani just deal with the topic at hand ni si kukimbilia kuangalia imani yake. Kama unatetea utetee hoja si personality ndipo utakuwa kwenye kundi la wenye ufahamu. Ukishindwa kupambana na hoja unabaki ku-deal na watu walioleta hoja hiyo low intelligence through and through.
 
Maana ni wazi ukitazama kwa umakini body language, facial expressions and tones za viongozi wa TEC hasa rais wa baraza hilo na katibu mkuu wake, utabaini na kukubaliana na mimi kwamba viongozi hawa kabisa hawana hoja za msingi, wana chuki ya kiwango cha juu mno na dini ya viongozi wakuu wa Taifa letu.

Na ndio kwa maana hata mazungumzo na maelezo ya mara kwa mara ya viongozi hawa wa TEC, yanalenga migawanyiko, chuki na kuwaongoza waamini na wafuasi wa TEC nao kuwachukia viongozi wasio wa dini inayofanana na yao watu ili hatimae kusababisha fujo, vurugu na uvunjifu wa amani wa amani wa taifa letu.

Kama mdau wa JF,
unadhani ni nini hasa chimbuko la chuki za TEC dhidi ya viongozi wakuu wa serikali hasa waisilamu?
Je, tuamini kwamba TEC na taasisi za aina hiyo Africa ndio chanzo cha changamoto ya amani Africa?
Kwanini watu hawa hawapendi amani?


Mungu Ibariki Tanzania.
Tukija kwako tukakuta unamlawiti mwanao na kukukemea tutakuwa tunachuki na wewe?
 
Pamoja na akili hizi kisoda nilizo nazo, katika andiko lolote lilotolewa na TEC sijawahi kuona wakizungumzia maslahi ya wakatoliki au wakiristo mostly ni maneno kama matatu yamekuwa yakijirudia ambayo ni HAKI, AMANI, UWAJIBIKAJI

Mabaraza ya kidini yaache kupotosha jamii, waandike articles na wao za kusaidia kuikumbusha Serikali kutekeleza majukumu yake.

Dominika Njema

Location

Kigali, Rwanda
 
Kama TEC wangekuwa hawajawahi kumsema na kumkosoa Magufuli mkristo na mkatoliki mwenzao basi at least ungekuwa na hoja.

Ila kwa kuwa TEC walimsema sana na kumkosoa Magufuli akiwa mkristo na mkatoliki mwenzao hoja yako inakosa mashiko.
Kama mtu haoni kama utekaji, watu kupotea na kukosekana kwa utawala bora ni hoja za msingi, huyo mtu ujinga wake huoni kama upo juu ya viwango vya ubinaadamu mkuu?

Utamwambia nini akuelewe?
 
Maana ni wazi ukitazama kwa umakini body language, facial expressions and tones za viongozi wa TEC hasa rais wa baraza hilo na katibu mkuu wake, utabaini na kukubaliana na mimi kwamba viongozi hawa kabisa hawana hoja za msingi, wana chuki ya kiwango cha juu mno na dini ya viongozi wakuu wa Taifa letu.

Na ndio kwa maana hata mazungumzo na maelezo ya mara kwa mara ya viongozi hawa wa TEC, yanalenga migawanyiko, chuki na kuwaongoza waamini na wafuasi wa TEC nao kuwachukia viongozi wasio wa dini inayofanana na yao watu ili hatimae kusababisha fujo, vurugu na uvunjifu wa amani wa amani wa taifa letu.

Kama mdau wa JF,
unadhani ni nini hasa chimbuko la chuki za TEC dhidi ya viongozi wakuu wa serikali hasa waisilamu?
Je, tuamini kwamba TEC na taasisi za aina hiyo Africa ndio chanzo cha changamoto ya amani Africa?
Kwanini watu hawa hawapendi amani?


Mungu Ibariki Tanzania.


Mada ya kipumbavu kabisa. Kuna hoja gani ya TEC iliyotolewa kuhusiana na dini ya kiongozi? Hivi ni uislam ndiyo unaomfanya awateke na kuwaua watu?

Ni uislam ndio uliomfanya apore na kugawa kwa waarabu mali za asili za Tanganyika?

Ni uislam ndio unamfanya atengeneze tume bandia ya uchaguzi?

Ni uislam ndiyo unaomfanya atengeneze uchaguzi bandia?

Ni uislam ndiyo umemfanya kuwa kiongozi muuji wa ajabu katika bara zima la Afrika?

Mwalimu nyerere aliwahi kusema kuwa mtu aliyefilisika kisiasa hupenda kujificha nyuma ya udini au ukabila. Yaani wewe ufanye uchafu na ushetani wa ajabu wa kuwaua binafamu wenzako, watu wakilalamika, unasema wanalalamika kwa sababu mimi ni muislam!! Loh! Wewe una akili au mwendawazimu?

Nawapongeza sana TEC, taasisi na hata watu mmoja mmoja, wote wanaoukemea ushetani unaoendelea nchini, ikiwa ni pamoja na ushetani wa kuteka na kuua watu, kudhulumu haki za watu, ikiwa ni pamoja na kutengeneza tume bandia za uchaguzi, sheria za hovyo za uchaguzi, chaguzi bandia, ufisadi, na maovu mengine yote.

TEC siku zote imekemea udhulumaji wa haki za watu bila ya kujali uovu huo unafanywa na nani. Walikemea wakati wa Mkapa, Kikwete, Magufuli na hata katika utawala huu wa sasa, japo tawala zote zilizopita hazikuwahi kufanya uovu mkubwa wa kiwango cha kutisha kama ilivyo kwenye utawala huu uliowateka mamia ya watu, kuwaua maelfu ya watanganyika, kupora rasilimali za Tanganyika na kisha kuwagawia wageni, ufisadi wa kiwango cha kutisha, kutengeneza utawala wa kifamilia, na uchafu wa kila aina.
 
Maana ni wazi ukitazama kwa umakini body language, facial expressions and tones za viongozi wa TEC hasa rais wa baraza hilo na katibu mkuu wake, utabaini na kukubaliana na mimi kwamba viongozi hawa kabisa hawana hoja za msingi, wana chuki ya kiwango cha juu mno na dini ya viongozi wakuu wa Taifa letu.

Na ndio kwa maana hata mazungumzo na maelezo ya mara kwa mara ya viongozi hawa wa TEC, yanalenga migawanyiko, chuki na kuwaongoza waamini na wafuasi wa TEC nao kuwachukia viongozi wasio wa dini inayofanana na yao watu ili hatimae kusababisha fujo, vurugu na uvunjifu wa amani wa amani wa taifa letu.

Kama mdau wa JF,
unadhani ni nini hasa chimbuko la chuki za TEC dhidi ya viongozi wakuu wa serikali hasa waisilamu?
Je, tuamini kwamba TEC na taasisi za aina hiyo Africa ndio chanzo cha changamoto ya amani Africa?
Kwanini watu hawa hawapendi amani?


Mungu Ibariki Tanzania.
Kubaini kuna chuki au hapana no lazima kujadili hoja zinazotolewa na pande zote;
1. Viongozi wa TEC wanasema
tatizo lililopo ni nini?
2. Majibu ya serikali kuhusu tatizo hilo ni yapi?

Linganisha uone ni upande upi wenye hoja zenye akili ya kawaida, weledi na mantiki.
Pande zote zinatakiwa kuchuja yale mazuri yafanyiwe kazi kwa mustakabali mwema wa taifa.
Serikali ya Tanzania haina dini na taifa lake lina dini nyingi tofauti.
 
Chuki wanazo, ambazo zilipandikizwa kumwagiliwa na kuwekewa mbolea na uzao wa kwanza,vizazi vilivyofuata hasa wasomi Wana chuki kweli kweli
Maofisini, vyuoni wako sensitive na dini ya mtu
Chuki tu!
Lakini pili huwa ni kumchekecha na kumtisha kiongozi wa kiislam asiwabane kwenye maslahi
Mwinyi walimsakama, halafu waka-propose MoU, mwinyi kwa hofu akawapa 1992
Maana akiwa wa kwao hapo juu ni amri tu,mtu anayekusamehe dhambi sharti umuheshimu umsikilize, ndiyo unaweza kuta Kuwait fund walitoa hela kujenga barabara kusini,wakikaa wakajadili wataona huko ni kuendeleza waislam,hela zinapelekwa mwanza kujenga hospital ya kanisa
Utakuta wanaamua kutoendeleza zao la korosho,sababu zao Hilo lipo mikoa ya waislam hivyo utaendeleza waislam,ukute haya hujadiliwa ikulu wakiwemo wavaa magauni walevi, maana ikisemwa walikua na ofisi humo kabla jakaya hajawafurusha na kumchukia hadi kesho
 
Kubaini kuna chuki au hapana no lazima kujadili hoja zinazotolewa na pande zote;
1. Viongozi wa TEC wanasema
tatizo lililopo ni nini?
2. Majibu ya serikali kuhusu tatizo hilo ni yapi?

Linganisha uone ni upande upi wenye hoja zenye akili ya kawaida, weledi na mantiki.
Pande zote zinatakiwa kuchuja yale mazuri yafanyiwe kazi kwa mustakabali mwema wa taifa.
Serikali ya Tanzania haina dini na taifa la lina dini nyingi tofauti.
Takwimu haziwezi kuwa hivi halafu useme hakuna kitu/chuki,utakua mpuuzi
 

Attachments

  • Screenshot_2025-11-20-16-55-40-719.jpg
    Screenshot_2025-11-20-16-55-40-719.jpg
    132.6 KB · Views: 7
Maana ni wazi ukitazama kwa umakini body language, facial expressions and tones za viongozi wa TEC hasa rais wa baraza hilo na katibu mkuu wake, utabaini na kukubaliana na mimi kwamba viongozi hawa kabisa hawana hoja za msingi, wana chuki ya kiwango cha juu mno na dini ya viongozi wakuu wa Taifa letu.

Na ndio kwa maana hata mazungumzo na maelezo ya mara kwa mara ya viongozi hawa wa TEC, yanalenga migawanyiko, chuki na kuwaongoza waamini na wafuasi wa TEC nao kuwachukia viongozi wasio wa dini inayofanana na yao watu ili hatimae kusababisha fujo, vurugu na uvunjifu wa amani wa amani wa taifa letu.

Kama mdau wa JF,
unadhani ni nini hasa chimbuko la chuki za TEC dhidi ya viongozi wakuu wa serikali hasa waisilamu?
Je, tuamini kwamba TEC na taasisi za aina hiyo Africa ndio chanzo cha changamoto ya amani Africa?
Kwanini watu hawa hawapendi amani?


Mungu Ibariki Tanzania.
Viongozi wa TEC hawazai. Hawajali na hawana Cha kupoteza hata kama mkiunguza nchi.
 
Chuki wanazo, ambazo zilipandikizwa kumwagiliwa na kuwekewa mbolea na uzao wa kwanza,vizazi vilivyofuata hasa wasomi Wana chuki kweli kweli
Maofisini, vyuoni wako sensitive na dini ya mtu
Chuki tu!
Lakini pili huwa ni kumchekecha na kumtisha kiongozi wa kiislam asiwabane kwenye maslahi
Mwinyi walimsakama, halafu waka-propose MoU, mwinyi kwa hofu akawapa 1992
Maana akiwa wa kwao hapo juu ni amri tu,mtu anayekusamehe dhambi sharti umuheshimu umsikilize, ndiyo unaweza kuta Kuwait fund walitoa hela kujenga barabara kusini,wakikaa wakajadili wataona huko ni kuendeleza waislam,hela zinapelekwa mwanza kujenga hospital ya kanisa
Utakuta wanaamua kutoendeleza zao la korosho,sababu zao Hilo lipo mikoa ya waislam hivyo utaendeleza waislam,ukute haya hujadiliwa ikulu wakiwemo wavaa magauni walevi, maana ikisemwa walikua na ofisi humo kabla jakaya hajawafurusha na kumchukia hadi kesho
😅😂😂😂 This is very petty point. Yaani unahoja za kitoto na zisizo na mashiko kabisa.

Bora mleta mada unaweza ukamsoma na kujua ana akili ila ameamua tuu kijitoa ufahamu sababu ya uchawa.

Ila wewe akili huna na hoja huna. Kiufupi ni chawa zero brain kabisa.
 
😅😂😂😂 This is very petty point. Yaani unahoja za kitoto na zisizo na mashiko kabisa.

Bora mleta mada unaweza ukamsoma na kujua ana akili ila ameamua tuu kijitoa ufahamu sababu ya uchawa.

Ila wewe akili huna na hoja huna. Kiufupi ni chawa zero brain kabisa.
Sawa
 
Wewe ni mmbulu fala kuliko wote, jifunze kwa dokta slaa. Tukirudi kwenye mada viongozi wa TEC wanachuki na maovu, huwa hawachagui utawala Magufuli mwenyewe walimnyoosha alivyokuwa anaua watu kibiti, pia Lissu kupigwa risasi Dodoma na TEC iliongea, tofauti na masheikh wetu TEC wenyewe huwa hawataji ukristu wala uislam kwenye hoja zao nadhani hii pia, inachangiwa na ukweli kwamba baraza limeundwa na madokta wengi wadarasani sio wa heshima.

Hoja za TEC ni hizi:
1. Mauaji ya watu wasio na hatia bila kujali dini, itikadi za kisiasa, wala ukanda hamna aliokiri wanataka maridhiano bila kukiri. Ukweli kwamba waliouawa wengi walifuatwa majumbani kwao hawakuwa waandamanaji. Hili swala tusilichukulie juu juu, hii inaweza kumtokea mtu yeyote hata mimi au wewe isipokuwa viongozi, ambao huwa wanapeana taarifa wakajifiche hotelini.

2. Utawala wa sheria: mtu anatibiwa kwanza kama kapigwa risasi kisha sheria ifate baada ya matibabu sio kuwapeleka mochuari moja kwa moja majeruhi.

3. Msamaha wa kodi unaopata katoliki: Kaelezea ulianza kipindi Tanganyika inapata uhuru, Katoliki ilikuwa na mashule na hospitali nyingi kuliko serikali ndio wakaandikishana kupata msamaha wa kodi kwa sababu inasaidia majukumu ya serikali haijaanza leo.
👏Kwa hoja hizi kwanini waIslamu wanakuja moja kwa moja kuwataja Wakristo waKatoriki wakati hoja za TEC zimeelekezwa kwa serikali na siyo viongozi wa Taasisi ya kiIslamu? Na wala haijaelekezwa kwa viongozi wa serikali wa kiIslamu sababu serikali ni Taasisi kubwa iliyoundwa na watu wa dini mbalimbali. Hawa jamaa wangejikita kujibu hoja kwa mlengo wa hoja zenyewe na siyo kuhusisha dhana ya Udini kwenye hoja zao.
Kiukweli bora hata TEC hoja zao ukizisikiliza sinatafakarisha ila waIslamu wakijibu hizo hoja ambazo kwanza hazijaelekezwa kwao, wanajibu kwa mihemko sana ndo maana wanatoa boko.Kwanini hawakujibu hoja za waIslamu wenzao wale wa Ashura sijui(Shekh Ponda) juu ya uchaguzi wa Oct 29 na wamewang'ang'ania TEC tu?
 
Joe Milla
Ni mbinu ya kisiasa ya zamani inayotumika kutawala watu, kwa kuwagawa kisha wakishachoshana kwa kupigana mtawala anarudi kuja kutupatanisha lakini bado akiwa mtawala. Hoja ni vijana dhidi ya utawala lakini inabadilishwa / linatengenezwa tatizo na watawala kuwa ukristo dhidi ya uislam, wanatukwepa kisha wenyewe ndio watajidai wanakuja kulitatua. Kwa kiingereza "divide and conquer"

Hii mbinu inatumika pia kushusha morali ya raia, kwani ukishajua hii vita tukifaulu tunamnufaisha muislam au mkristo unachoka kama babaenu mwandambo. Lakini ukiangalia waathirika wa utawala ni wote waislam na wakristo kwa mfano shida ya maji ni wote, kupigwa risasi wote, tozo wote etc

"Wapo viongozi wakishindwa kukubalika kwa sera basi wanaamua njia mbalimbali ikiwemo Ukabila na Udini." - Nyerere
 
Back
Top Bottom