Ndivyo Ilivyo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 243
- 4
Bw. Mwiba hebu tueleze kidogo kwani wewe vipi. Jee? ni Mzaramo, Mndengereko, Mmatumbi,Mpemba, Mshirazi,Mzanzibara, au M-zanzibari? Kumradh kama itakuwa nime-kuzonga.Ni nini faida ya kupiga chabo ? Kusingekuwepo na watu wanaopiga chabo kama kusingekuwa na faida ,lazima kutakuwa na faida ,jamani msiwe wachoyo hebu tuelezeeni ,inasemwa kuwa wazaramo na wandengereko ni nambari one kwa chabo !
Mwiba,
kupiga chabo ni ugonjwa wa kisaikolojia kama magonjwa mengine. uko kwenye fungu la sexual daiversions. wapiga chabo wakubwa hawawezi mpaka waanzie kwenye chabo, hufikia mpaka kulipia pesa gesti za uswahilini na kupata chabo. inapobidi, basi hata kumchungulia tuu mkewe anapovua kwenda kuoga.
wapiga chabo wakuu ni wazanzibari. hujulikana kwa jina maarufu la makozi men.
Kwa sasa niko hapa Pretoria, kenye mtaa maarufu wa Proterius Street, kuna la mambo ya kukubwa. ukiwa huko dukani unalipia rand 10,unaingia kwenye show inaitwa 'peeping tom'. Ni kijichumba cha giza, unachungulia kwenye viundu kama vya ufunguo, upande a pili, utaona watu live, wanafanya mambo.
Tatizo, hiyo rand 10 unayolipia ni show ya dakika 2. kufunga kufungua dakika mbili zimeisha huku gemu ndio kwanza linakolea, unajikuta unaongeza dakika mbili tena ili uone mpaka mwisho wa mchezo, nayo itaisha gemu halijaisha, ndipo nikashtukia hiyo ndiyo deal yenyewe, gemuhaliishi, unabaki kushangaa. nashukuru sio mgonjwa vinginevyo ningefilisika.
Nakumbuka ujana mitaa ya ilala, unachukua demu na kuwaambia washikaji waje kupiga chabo ili kuwaonyesha ulivyo bingwa.Kwa vile unajua unaangaliwa, basi ndio unafanya kwa masifa. nadhani hata uchafu wa kutaka tigo unaanzia kwenye kuiga na kujifanya shujaa.
hata wale waangaliaji sana wa porno, pia wanamatatizo bila kujijua. cha muhimu baada ya kujua ni tatizo njia ni kujiepusha.
Ngoja na mimi niazishe hiyo business, mbona ntawapata wengi!
Jamaa alikuwa na demu na kuna rafiki yake alikuwa anawapiga chabo dirishani yule jamaa akajisahau akaingiza kichwa chote mapaka yule demu akamuona akamwambia hebu nenda kamwambie yule rafiki yako atoke dirishani
Sidhani kama ni ugonjwa maana akina mama wanafurahia sana kuwaangalia wapenzi wao wakishughulika wanadai ni moja ya "turn on" kubwa sana kwao.
Jamaa alikuwa anapiga chabo....wakati akiendelea kuangalia...aliyekuwa akiangaliwa(Mshughulikaji) akamuona jamaaa....akafanya kama anakwenda toilet...akatoka nje kumcheck jamaa akamgusa mgongoni...jamaa wala hakustuka akasema subiri jamaa ndio kaenda ******...(akifikiri koziman mwenzie)
Hata mamsapu akikunyima mchezo kwa kudai kachoka au anaumwa kichwa basi unaenda sehemu sehemu iliyotulia na hakuna kelele na kufanya vitu vyako
Hakuna faida kabisa...chabo ni aina ya ulevi mbaya kabisaNi nini faida ya kupiga chabo ? Kusingekuwepo na watu wanaopiga chabo kama kusingekuwa na faida ,lazima kutakuwa na faida ,jamani msiwe wachoyo hebu tuelezeeni ,inasemwa kuwa wazaramo na wandengereko ni nambari one kwa chabo !