Mechi ya Simba na Yanga waona raha kuiangalia Uwanja wa taifa (in person) au kwenye Luninga (live)?Ni nini faida ya kupiga chabo ? Kusingekuwepo na watu wanaopiga chabo kama kusingekuwa na faida ,lazima kutakuwa na faida ,jamani msiwe wachoyo hebu tuelezeeni ,inasemwa kuwa wazaramo na wandengereko ni nambari one kwa chabo !
Ni nini faida ya kupiga chabo ? Kusingekuwepo na watu wanaopiga chabo kama kusingekuwa na faida ,lazima kutakuwa na faida ,jamani msiwe wachoyo hebu tuelezeeni ,inasemwa kuwa wazaramo na wandengereko ni nambari one kwa chabo !
its part of the growing up process,unajifunza unknown technics,as you grow this habit fizzles out-trust me chabo makes your hair stand
Mwiba,
kupiga chabo ni ugonjwa wa kisaikolojia kama magonjwa mengine. uko kwenye fungu la sexual daiversions. wapiga chabo wakubwa hawawezi mpaka waanzie kwenye chabo, hufikia mpaka kulipia pesa gesti za uswahilini na kupata chabo. inapobidi, basi hata kumchungulia tuu mkewe anapovua kwenda kuoga.
wapiga chabo wakuu ni wazanzibari. hujulikana kwa jina maarufu la makozi men.
Kwa sasa niko hapa Pretoria, kenye mtaa maarufu wa Proterius Street, kuna la mambo ya kukubwa. ukiwa huko dukani unalipia rand 10,unaingia kwenye show inaitwa 'peeping tom'. Ni kijichumba cha giza, unachungulia kwenye viundu kama vya ufunguo, upande a pili, utaona watu live, wanafanya mambo.
Tatizo, hiyo rand 10 unayolipia ni show ya dakika 2. kufunga kufungua dakika mbili zimeisha huku gemu ndio kwanza linakolea, unajikuta unaongeza dakika mbili tena ili uone mpaka mwisho wa mchezo, nayo itaisha gemu halijaisha, ndipo nikashtukia hiyo ndiyo deal yenyewe, gemuhaliishi, unabaki kushangaa. nashukuru sio mgonjwa vinginevyo ningefilisika.
Nakumbuka ujana mitaa ya ilala, unachukua demu na kuwaambia washikaji waje kupiga chabo ili kuwaonyesha ulivyo bingwa.Kwa vile unajua unaangaliwa, basi ndio unafanya kwa masifa. nadhani hata uchafu wa kutaka tigo unaanzia kwenye kuiga na kujifanya shujaa.
hata wale waangaliaji sana wa porno, pia wanamatatizo bila kujijua. cha muhimu baada ya kujua ni tatizo njia ni kujiepusha.
Na wale wazee hadi wenye mvi? nadhani pia ni pervasion.
Sio mchezo kupiga chabo ukizidiwa itakuwaje???
...astaghafirullah, hebu tutake radhi yakhe!
... mgonjwa haulizwi uji!...
... utajiepushaje 'addiction' ya ukozimeni ilhali damu bado inakuchemka?
Angalia avatar ya mwiba vizuri.Hiyo ndiyo chabo mwanangu.Chabo ni nzuri unaweza ukamaliza mambo yote,the only thing you need to be imaginative.ukitoka hapo mwepesiii.Chabo ndio nini kwanza? maana sijakupata mwiba
Chabo ndio nini kwanza? maana sijakupata mwiba
...unasimamia vidole!