The Hebrew
JF-Expert Member
- Feb 7, 2015
- 348
- 442
Wapendwa natafuta ufahamu, ujuzi na uzoefu kwenu, kama maelezo hapo juu.
Mazingira ya ajira katika nchi nyingi za kiafrika ni ngumu na si kwetu Tanzania pekee. Kumetokea vijana wengi wanatoka Tanzania kwenda kufanya kazi nje (Kazi za kawaida) na hasa bara la Asia.
Nimekua nawasiliana na baadhi wakiwa huko, kwa maelezo yao mishahara yao ni mizuri ambayo kwetu huku ni pesa nzuri tu sawa na mishahara ya wasomi wetu hapa nyumbani japo kazi hizo huko kwa wenzetu zinahitaji sana ujuzi na uzoefu kuliko shule.
Naomba kufahamishwa, ni nini basi faida, changamoto na hasara za ajira hizi?
Mazingira ya ajira katika nchi nyingi za kiafrika ni ngumu na si kwetu Tanzania pekee. Kumetokea vijana wengi wanatoka Tanzania kwenda kufanya kazi nje (Kazi za kawaida) na hasa bara la Asia.
Nimekua nawasiliana na baadhi wakiwa huko, kwa maelezo yao mishahara yao ni mizuri ambayo kwetu huku ni pesa nzuri tu sawa na mishahara ya wasomi wetu hapa nyumbani japo kazi hizo huko kwa wenzetu zinahitaji sana ujuzi na uzoefu kuliko shule.
Naomba kufahamishwa, ni nini basi faida, changamoto na hasara za ajira hizi?