""" When a man steals your wife, there is no better revenge than to let him keep her." Lee Major
eeh!
Mzee Mwanakijiji nionavyo ni muhimu sana kuingia kwenye ndoa ukiwa tayari na umeamua kutoka ndani ya moyo wako kuwa niko tayari sasa kuanza maisha ya ndoa,na kingine pia tusiingie kwenye ndoa ki-fashion,yaani kwa vile mwenzangu kavaa ngua nyeupe na mimi lazima nivae,sasa kama mtu kaingia kwenye ndoa kwa sababu hataki hiyo fashion impite tunategemea nini hapo? kuna mchangiaji mmoja amesema kuwa wengine huamua kuolewa au kuoa kwa kuondoa mikosi ni kweli hiyo dhana ipo pia kwa watu wengine,hivi mtu akiingia na dhana hiyo kwamba alienda kuondoa mkosi nini kinatokea hapo? au mwingine shida yake ni kuitwa tu MRS.
Nionavyo tunapoamua kuingia kwenye ndoa tuachane na dhana za kusema natoa mkosi,nataka kuitwa MRS na vitu kama hivyo, tujaribu kuangalia mbali,maana ndoa ina wigo mpana sana kuna ups and downs nyingi sana kwa hiyo tuwe makini sana pale tunapoamua kuweka commitment.
..........Hapa naona watu wengi wanajadili kwamba wadada ndio wanalazimisha ndoa, hii wala sio kweli. Kuna wakaka nao pia wanalazimisha ndoa jamani, nina mfano tosha.
Mzee Mwanakijiji nadhani mada yako imekujawakati muafaka, sasa hivi ndoa nyingi mtu unalazimika kuoa, sababu kubwa kwa mfano hapa DAR wachumba wengi wanaishi pamoja, au hata kama hawaishi pamoja wanakuwa tayari wanamegana tena bila kujikinga, matokeo yake ni mimba, binti akishapata mimba sasa anakuja na "BABA atasemaje" au MAMA ntamwambia nini lazima tufunge ndoa, au kama ulikuwa umeshatambulishwa ukweni sasa wakwe watakuambia kijana sisi tunataka ndoa hapa, tayari ushampa mimba binti yetu, na wewe labda hukuwa na mpango wa kuoa hapa karibuni, kweli utalazimika kuoa hivyo hivyo tuu au kama ni mgumu basi utabidi usubiri mpaka binti ajifungue ndo uoe, na wengine utakuta bado alikuwa anatafuta na hiyo imetokea sasa binti wa watu kanasa na wewe hukuwa na mpango wa kumuoa yeye, kwa pressure za wazazi wako na wake unabidi sasa uoe, hapo sasa ndani ya NDOA kunakuwa hakuna amani tena. AMBAO hampo kwenye ndoa jamani OA au uolewe na mtu ambaye you cant live without na si you can live with. Mambo hubadirika sana kwenye ndoa, pale ndo maisha ya kweli sasa kama ilizoea kutolewa kila siku sasa mitoko inaweza ikawa once in a month au ikafa kabisa, majukumu yanakuwa mengi hasa mkishapata mtoto, ukiwa na doubt flani ifanyie kazi kabla ya kuji commit, otherwise utakuja lia.
Mzee Mwanakijiji nadhani mada yako imekujawakati muafaka, sasa hivi ndoa nyingi mtu unalazimika kuoa, sababu kubwa kwa mfano hapa DAR wachumba wengi wanaishi pamoja, au hata kama hawaishi pamoja wanakuwa tayari wanamegana tena bila kujikinga, matokeo yake ni mimba, binti akishapata mimba sasa anakuja na "BABA atasemaje" au MAMA ntamwambia nini lazima tufunge ndoa, au kama ulikuwa umeshatambulishwa ukweni sasa wakwe watakuambia kijana sisi tunataka ndoa hapa, tayari ushampa mimba binti yetu, na wewe labda hukuwa na mpango wa kuoa hapa karibuni, kweli utalazimika kuoa hivyo hivyo tuu au kama ni mgumu basi utabidi usubiri mpaka binti ajifungue ndo uoe, na wengine utakuta bado alikuwa anatafuta na hiyo imetokea sasa binti wa watu kanasa na wewe hukuwa na mpango wa kumuoa yeye, kwa pressure za wazazi wako na wake unabidi sasa uoe, hapo sasa ndani ya NDOA kunakuwa hakuna amani tena. AMBAO hampo kwenye ndoa jamani OA au uolewe na mtu ambaye you cant live without na si you can live with. Mambo hubadirika sana kwenye ndoa, pale ndo maisha ya kweli sasa kama ilizoea kutolewa kila siku sasa mitoko inaweza ikawa once in a month au ikafa kabisa, majukumu yanakuwa mengi hasa mkishapata mtoto, ukiwa na doubt flani ifanyie kazi kabla ya kuji commit, otherwise utakuja lia.
What is the maximum time to stay in a relationship before marriage? unakuta m2 mko naye miaka nenda miaka rudi kakuvisha pete ya uchumba mpaka ishakua ndogo, bado anakushughulikia tu! should I not remind him that time is going? Some Men!!! Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!! to hell with you all.
b. Je, ni huyo ndiye ambaye ungependa mzeeke pamoja? Hili swali ni muhimu. Wengi tunapofunga ndoa bado tuko vijana. Hivyo tunaangaliana kwa maumbo yaliyopendeza. Wenye rijali, big ego, mwanamichezo, sauti nzuri, macho mazuri, kifua kilichojaza na kaunta ya vinywaji n.k Hivi vyote ni vizuri wakati huu lakini je miaka 25 baadaye wakati mvi zimeanza kutoka, meno yameanza kugombania kung'oka, mtu kapaswa sidenti, mtoto mmoja kaaga dunia, kibarua kimeota mbawa n.k Je bado utataka kuwa na mtu HUYO katika maisha yako?
Ukijibu maswali hayo mawili bila kupepesa macho "Ndiyo" basi niite niwe mshenga.. unastahili kufunga ndoa.
Otherwise, stay your a..ss. outside marriage!!
What is the maximum time to stay in a relationship before marriage? unakuta m2 mko naye miaka nenda miaka rudi kakuvisha pete ya uchumba mpaka ishakua ndogo, bado anakushughulikia tu! should I not remind him that time is going? Some Men!!! Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!! to hell with you all.
Kwa sababu kabla ya hayo yote (ambayo nayo bila ya shaka ni mema) maswali mawili yafuatayo ni lazima na muhimu yajibiwe:
a. Je tuko tayari kuanza maisha ya ndoa? - Tunaposema "Tayari" tunamaamisha kiuwezo, kihisia, kivionjo, kimaamuzi n.k Je tuko tayari kuwaacha wote na kuwa na huyo mmoja, kuwa tayari kudeal na watoto na mambo yanayokuja na kuanza na familia?
b. Je, ni huyo ndiye ambaye ungependa mzeeke pamoja? Hili swali ni muhimu. Wengi tunapofunga ndoa bado tuko vijana. Hivyo tunaangaliana kwa maumbo yaliyopendeza. Wenye rijali, big ego, mwanamichezo, sauti nzuri, macho mazuri, kifua kilichojaza na kaunta ya vinywaji n.k Hivi vyote ni vizuri wakati huu lakini je miaka 25 baadaye wakati mvi zimeanza kutoka, meno yameanza kugombania kung'oka, mtu kapaswa sidenti, mtoto mmoja kaaga dunia, kibarua kimeota mbawa n.k Je bado utataka kuwa na mtu HUYO katika maisha yako?
Ukijibu maswali hayo mawili bila kupepesa macho "Ndiyo" basi niite niwe mshenga.. unastahili kufunga ndoa.
Otherwise, stay your a..ss. outside marriage!!
binafsi niko tayari kuingia kwenye ndoa kwa sasa,niko tayari kihisia,kiuwezo,na pia kimaamuzi,niko tayari kuwa mama wa familia na kubeba majukumu yangu kama mama,na hata mtarajiwa pia nimemwambia mimi niko tayari kuwa mama nitakaesimamia nyumba yangu kama mama.
Na kuhusu pia swali la pili niko tayari kuzeeka nae,na si kuzeeka nae tu,hata zitakapo jitokeza ups and downs niko tayari,maana naelewa kwenye ndoa kuna mambo mengi na changamoto mbalimbali,niko tayari kukabiliana na hizo changamoto,siku zote namwomba Mungu nitakapoingia kwenye ndoa anipe uvumilivu.
hongera na karibu kwenye chama chetu🙂