Ni nani yuko nyuma ya BBC Swahili?

Ni nani yuko nyuma ya BBC Swahili?

Maelezo marefu halafu upupu mtupu... Hebu tuambie exceptional za awamu ya 5 cha kufanya wasikosolewe.
 
Muache sasa kutuingizia hasara kama Taifa kwa kupoteza silaha bure, imagine risasi 38 zilipotea huku Lissu hajafa. Tumie hiyo silaha ya kuinua Uchumi. Sasa umefika Uchumi wa chini kati, nina imani ukifika Uchumi wa chini juu. Hawa vibaraka watajinyonga kabisa.
Umeandika kwa uchungu wakati huna ushahidi wowote, mkuu wasaidie polisi kama una ushahidi majungu na propaganda hazisaidii kitu chochote.
 
Mwalimu Umesahau Kuweka Number Ya Simu Yako. Nakukumbusha Unapoanzisha Habari Namna Hii Simu Muhimu
 
Umeandika kwa uchungu wakati huna ushahidi wowote, mkuu wasaidie polisi kama una ushahidi majungu na propaganda hazisaidii kitu chochote.
Ukweli unaujua na nafsi yako inajua ingawa umechagua kuwa upande huo...

Tujitahidi kuchapa kazi tuinue uchumi wetu ili tufikie Uchumi wa Chini juu.
 
Huu uzi naona hazijaunganishwa na mwenzie kuna uzi mwingine umeandikwa hivi hivi ama mnaogopwa
 
BBC wanaandika habari ambazo vyombo vyetu nchini vimezuiwa kuziandika. Sio BBC tu hata DW na VOA, hawa ndo wakombozi wetu kwa sasa. Ukizungumzia vyombo huru duniani basi hivyo ndo mfano, hawapelekeshwi na chama chochote cha siasa wala Rais when it comes to Professionalism. Asanteni BBC kwa kutujali wa tanzania na kusimamia ukweli.
 
Nyie mnataka muishi dunia gani iliyo na uelekeo mmoja tu??

Hiyo dunia ya namna hiyo mnayotaka kuishi ndani yake haipo dude....!

Na kulazimisha kitu kisichokuwepo, kiwepo ni kujiumiza na kujitafutia matatizo ya bure bila sababu......

Tunaishi katika dunia kinzani. Na ukinzani huu ndiyo unaoleta UZURI na MAANA ya maisha...

Tunaishi dunia ya leo UNACHEKA, Kesho UNALIA....

Tunaishi dunia ya leo mwingine UNAPATA, kesho UNAKOSA...

Tunaishi dunia ya leo UMETIWA MOYO, kesho UMEVUNJWA moyo...

Tunaishi katika dunia ya leo UNAPONGEZWA, kesho UNAKOSOLEWA...

Hamuwezi kupingana na LAW OF THE NATURE... Haya ndiyo maisha ya binadamu....

Yesu Kristo mwana wa Mungu katika umbo na sura na mwili wa kibindamu alikabiliana na hali na aina hii ya maisha....

Hakulalamika. Hakupingana na mazingira yake. Hakubadilisha mazingira ya uonevu na ya kukatisha tamaa yaliyokuwa yanamzunguka...

Alishinda na zaidi ya kushinda ktk mazingira hayo hayo...

Nyie mna nini? Mnataka kutengeneza dunia yenu yenye uelekeo mmoja tu? Mtaweza na CCM na Magufuli wenu?

Kaeni tayari na mjiandae NATURE kuwabadilisha iwapo mnashindwa kubadilika kulingana na ASILI....
Umesema zaidi ya kawaida. Aliyekuelewa kakuelewa. Dunia imejaa ushindani unaoleta ubora. Ukifanya ushindani kuwa uadui una matatizo ya akili.
 
Ila tuseme tuu ule ukweli,Gwajima haongeagi bila kufanya research, na anayosemaga mengi sana yanakuaga kweli, sasa mambo ya 5G mbona biligeti kapingwa hadi na wamarekani kwakutaka kutuletea chanjo yenye radio wavesWhy BBC mnamwandama gwajima tuu?Au mmekula maaharage ya Chadema
 
Yote hii ni wivu tu wala hakuna kingine sijui ni kwa nini sisi watu wenye ngozi nyeusi ni kwa nini huwa hatupendani zaidi ya kuleteana majungu na wivu.
 
BBC kipindi magufuli hajaingia madarakani ilikuwa bomba sana ila magufuli baada yakuwa raisi inatuletea use..
 
mkimaliza kubishana hamieni WASAFI TV... bora tu tukacheze amabhoko
 
Kiongozi kuwa na free mind. Unataka jamii nzima ya Ulimwengu iwe na namna moja ya kuwaza na kuchambua mambo?
 
Back
Top Bottom