Hakuna mmiliki ukitaka nenda katalii tu mkuu utuletee mrejesho
samahani mkuu hivi aliyepiga picha hivyi vyombo angani yeye alikuwa wapi??Kuna chombo kinaitwa "ISS" kinaelea umbali wa kilometa 400 angani, Sitaki kuamini kuwa hujawahi kusikia au kuona!. Nashangaa ni vipi unaamini kuwa Elia aliyeishi enzi za Yesu kuwa alipaa bila wewe kuuona ushahidi usiamini kuwa kuna kazi ya binadamu inaelea angani sasa hivi na kuna watu wanaendelea na utafiti humo!.
Hebu angalia hapa>View attachment 1193460
Bila samahani!, picha hupigwa kutoka kwenye chombo kilichobeba abiria na mahitaji kinapoikaribia ISS kikitokea Duniani au wakati chombo kinapotengana na ISS wakati wa safari ya kurudi Duniani kikiwa na abiria kati ya watatu au watano.samahani mkuu hivi aliyepiga picha hivyi vyombo angani yeye alikuwa wapi??
sio kweliNgoja nkuambie ndugu..
Hakuna ambae ameshatoka nje ya hii dunia labda Yesu na Elia waliopaa...bt kwa mwanadam wa kawaida hakunA...
Zile n porojo zao tuuu na zile picha ni editing za kwenye studio...kama yale ma movies ambayo wanayachezA...cuz hakuna kifaaa kinachoweza kumtoa mwanadamu nje ya hili anga letu.
KWELI ndugu huko mbali watu wameenda mwezini kabla haujazaliwa na wameezeeka leo hii na wengine wamekufa kwa uzee km Neil Armstrong wa America na Yuri wa Russia. Wewe wa karne ya kidigital unabisha endelea kubisha wakt wenzako wanafanya KWELI. Siku ukisikia chombo cha safari za juu kikirushwa kuwa makini MF kwenda Mars, utasikia wakisema itaenda kwa miezi kadhaa na kutua labda kusini mwa Mars karibu na milima fulani huko. Mfano NASA wanajua mengi sana ya huko angani. JifunzeHuu ujumbe unaweza ukapuuzwa ila ndio ukweli wenyewe, hakuna aliyefika huko sayari ya Marz kama wanavyodai.
Kwahiyo NASA wanatuhadaa mkuu?Ngoja nkuambie ndugu..
Hakuna ambae ameshatoka nje ya hii dunia labda Yesu na Elia waliopaa...bt kwa mwanadam wa kawaida hakunA...
Zile n porojo zao tuuu na zile picha ni editing za kwenye studio...kama yale ma movies ambayo wanayachezA...cuz hakuna kifaaa kinachoweza kumtoa mwanadamu nje ya hili anga letu.
Ngoja nkuambie ndugu..
Hakuna ambae ameshatoka nje ya hii dunia labda Yesu na Elia waliopaa...bt kwa mwanadam wa kawaida hakunA...
Zile n porojo zao tuuu na zile picha ni editing za kwenye studio...kama yale ma movies ambayo wanayachezA...cuz hakuna kifaaa kinachoweza kumtoa mwanadamu nje ya hili anga letu.
ki ufupi wewe mlokole hata hiyo simu unayo tumia utasema kuwa ni edit katika matuzi.
hizo seteleti na vyombo vya anga vimefikaje.
we kaa kusubiri ndege yako itakuja kwa maombi bila kulipa deni
Acha uongo. .hata hizo habari za yesu ni porojo. .tena porojo haswaaaNgoja nkuambie ndugu..
Hakuna ambae ameshatoka nje ya hii dunia labda Yesu na Elia waliopaa...bt kwa mwanadam wa kawaida hakunA...
Zile n porojo zao tuuu na zile picha ni editing za kwenye studio...kama yale ma movies ambayo wanayachezA...cuz hakuna kifaaa kinachoweza kumtoa mwanadamu nje ya hili anga letu.
Nimeshangaa saa mtu anatumia simi au laptop inayotumia internet lakin haamini uwepo wa satellite haamin huko anga za mbali kuna madude yametupwa huko yanafanya kazi..Acha uongo. .hata hizo habari za yesu ni porojo. .tena porojo haswaaa
Ngoja nkuambie ndugu..
Hakuna ambae ameshatoka nje ya hii dunia labda Yesu na Elia waliopaa...bt kwa mwanadam wa kawaida hakunA...
Zile n porojo zao tuuu na zile picha ni editing za kwenye studio...kama yale ma movies ambayo wanayachezA...cuz hakuna kifaaa kinachoweza kumtoa mwanadamu nje ya hili anga letu.
inakuaje kikiisha mafuta?Kuna chombo kinaitwa "ISS" kinaelea umbali wa kilometa 400 angani, Sitaki kuamini kuwa hujawahi kusikia au kuona!. Nashangaa ni vipi unaamini kuwa Elia aliyeishi enzi za Yesu kuwa alipaa bila wewe kuuona ushahidi usiamini kuwa kuna kazi ya binadamu inaelea angani sasa hivi na kuna watu wanaendelea na utafiti humo!.
Hebu angalia hapa>View attachment 1193460
Zile sarakasi zinafanyika jangwa la Nevada mkuu, hizi pia ni silaha za kutisha publicity ili high echelon, cycle iwe admired , usidanganyike, ushahidi nianao ukiutaka,We jamaa unashangaza sana..
Yaani unaacha kuamini kitu ambacho kila siku tunaona rockets zikipaa kwenda anga za mbali live pale youtube halafu unaamini mambo ya Elia yaliyoandikwa kwenye kitabu ambacho huna uhakika wala picha ya elia huna.
Mzee ukapimwe akili sio bure..
Kama tunadanganywa bora uongo wa kwenda anga za mbali maana unaconvice kabisa na picha tunaona youtube
Naomba nigonge like hapaKuna chombo kinaitwa "ISS" kinaelea umbali wa kilometa 400 angani, Sitaki kuamini kuwa hujawahi kusikia au kuona!. Nashangaa ni vipi unaamini kuwa Elia aliyeishi enzi za Yesu kuwa alipaa bila wewe kuuona ushahidi usiamini kuwa kuna kazi ya binadamu inaelea angani sasa hivi na kuna watu wanaendelea na utafiti humo!.
Hebu angalia hapa>View attachment 1193460
Ngoja nkuambie ndugu..
Hakuna ambae ameshatoka nje ya hii dunia labda Yesu na Elia waliopaa...bt kwa mwanadam wa kawaida hakunA...
Zile n porojo zao tuuu na zile picha ni editing za kwenye studio...kama yale ma movies ambayo wanayachezA...cuz hakuna kifaaa kinachoweza kumtoa mwanadamu nje ya hili anga letu.
Wewe ndio umekwama kabisa...Ngoja nkuambie ndugu..
Hakuna ambae ameshatoka nje ya hii dunia labda Yesu na Elia waliopaa...bt kwa mwanadam wa kawaida hakunA...
Zile n porojo zao tuuu na zile picha ni editing za kwenye studio...kama yale ma movies ambayo wanayachezA...cuz hakuna kifaaa kinachoweza kumtoa mwanadamu nje ya hili anga letu.