shija kaman busungu
Member
- May 30, 2015
- 12
- 3
Ni mbongo huyo mzaliwa wa kazikazini
Habarini wakuu
Hivi huyu Tycoon na Bilionea anayemiliki hizo hazina hapo ni muhindi au mbongo? Natafuta Ajira na nataka nitume CV kwa HR dept yao,kwani toka nimemaliza chuo mpaka leo hii nasugua tu soli za viatu.
Kazi utapata mimi ndiye HR lakini na mimi unipatie masaburi yakoHabarini wakuu
Hivi huyu Tycoon na Bilionea anayemiliki hizo hazina hapo ni muhindi au mbongo? Natafuta Ajira na nataka nitume CV kwa HR dept yao,kwani toka nimemaliza chuo mpaka leo hii nasugua tu soli za viatu.
Hazina za risiwani hizo,
Upo wapi mkuu, umelala usingizi wa pono.
Pesa bila jasho zipo UKAWA, wahi fasta mkuu kabla EL hajaishiwa...
Kazi utapata mimi ndiye HR lakini na mimi unipatie masaburi yako
Kazi utapata mimi ndiye HR lakini na mimi unipatie masaburi yako
Ni mbongo huyo mzaliwa wa kazikazini
teh teh, unapajua msoga weeeee...
Mbona naambiwa ni mbongo wa huko bagm.oyo?
Panone inamilikiwa na Familia namba moja ya Tanzania.....
Hazina ya risiwani hiyo
Hebu funguka mkuu...ni familia ya Mtanzania?