huyu mzee ana mwanae wa kiume anaitwa nasoro kama sijakosea mara mwisho kumuona alikuwa anavuta madawa ya kulevya nakumbuka miaka ya nyuma alikuwa anasoma kinondoni muslim kimbweru!mabrazameni watoto wa kishua walikwa wanakuja shule na magari sasa huyu dogo kituko alichofanya siku moja alikuja na scania na trailer la babake shule parking yote akaimaliza yeye!mwalimu sharrif kwa hasira akapiga marufuku wanafunzi kwenda na magari shuleni!Mwanamboka ni ''nickname'' mwenyewe hasa akiitwa Saad Said Ally Services | Mwanamboka Hauliers LTD
Mambo yote ilikuwa MAGOMA MOTO
Mwanamboka gani unaemuulizia?Najua mwanamboka ambae alikuwa tajiri sana miaka ya 80 na 90 na karibuni na miaka ya 2000 ndio yule mwenye luku na like godown pale mapambano.Huyo ndio alikuwa tajiri sana.Na ana mtoto wake ambae yuko kwenye maswala ya mitindo(mwanamama) sijui jina lake.Je wewe unaongelea mwanamboka yupi?
Mwanamboka ni ''nickname'' mwenyewe hasa akiitwa Saad Said Ally Services | Mwanamboka Hauliers LTD