Ni nani anayesema kuna ukame nchini?

Ni nani anayesema kuna ukame nchini?

Interest

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
3,434
Reaction score
7,096
3b71234a71b08c432ed1f42df30e3e7e.jpg


Kwa kijani hiki, anayesema kuna ukame ana lake jambo.

Tuna ardhi yenye rutuba, inayohimili rashda na kashda za nyakati zote. Ukame utoke wapi?

Tuache uvivu, tufanye kazi. Hakuna vya bure.
 
Ukiwa umevaa kaputula alafu ukawa unabisha kwamba umevaa suruali watu watakushangaa Sana. Nitakribani mikoa yote Tanzania mvua hazijanyesha mpaka Leo yaani ni rasharasha zimepita kwa kawaida mvua za msimu zinatakiwa kunyesha kuanzai mwezi wa 11 hadi mwezi wa 4 kwa hali ya kawaida mazao ya msimu usitegemee yatastawi kuna mikoa Kama Dodoma,Singida,Manyara,Shinyanga n.k mvua za msimu zikipita yaana ni majanga.
 
Ukiwa umevaa kaputula alafu ukawa unabisha kwamba umevaa suruali watu watakushangaa Sana. Nitakribani mikoa yote Tanzania mvua hazijanyesha mpaka Leo yaani ni rasharasha zimepita kwa kawaida mvua za msimu zinatakiwa kunyesha kuanzai mwezi wa 11 hadi mwezi wa 4 kwa hali ya kawaida mazao ya msimu usitegemee yatastawi kuna mikoa Kama Dodoma,Singida,Manyara,Shinyanga n.k mvua za msimu zikipita yaana ni majanga.

Sijui labda kwingine ni kijani. Mbona hapa kwetu hakuna zao linaloanza kuota? Labda yataota baadae? TUNAOMBA MUNGU ATUBARIKI. Naamini njaa haitakuwepo.
 
Wachochezi mkuu ndoo wanasema kuna ukame. Na hata hiyo Picha na Photoshop. Hakuna rangi tutaacha kuona. Sio bure kuna kitu Mungu anataka kutufundisha watanzania. Nimezisoma nyaraka za kichochezi toka kwa viongozi wa dini juu ya hili ukiwemo wa TEC.
 
Nani msikie mtu anasema kuna njaa mimi ndio raisi wa nchi hii naijua vizuri nchi hii alaaah!!
 
hapo ni wapi? ukame upo lakini bado hatujaweka ushahidi wa kutosha kuthibitisha. kama hiyo migombba ni Kagera au Rungwe ni hatari. lakini kama ni Ruvuma huo ni uchochezi.
 
Ukiwa umevaa kaputula alafu ukawa unabisha kwamba umevaa suruali watu watakushangaa Sana. Nitakribani mikoa yote Tanzania mvua hazijanyesha mpaka Leo yaani ni rasharasha zimepita kwa kawaida mvua za msimu zinatakiwa kunyesha kuanzai mwezi wa 11 hadi mwezi wa 4 kwa hali ya kawaida mazao ya msimu usitegemee yatastawi kuna mikoa Kama Dodoma,Singida,Manyara,Shinyanga n.k mvua za msimu zikipita yaana ni majanga.
Acha uchochezi mkuu, unataka kuigombanisha serikali na wananchi wake nini? Umeambiwa nchi haina ukame wewe unabisha, au hujui kuwa yeye ndo anayejua hali ya hewa ya kila mahali?
 
Back
Top Bottom