choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,577
![]()
Kwa kijani hiki, anayesema kuna ukame ana lake jambo.
Tuna ardhi yenye rutuba, inayohimili rashda na kashda za nyakati zote. Ukame utoke wapi?
Tuache uvivu, tufanye kazi. Hakuna vya bure.
Hii ni "picha duka" mkuu