Ni nani anayesema kuna ukame nchini?

Ni nani anayesema kuna ukame nchini?

3b71234a71b08c432ed1f42df30e3e7e.jpg


Kwa kijani hiki, anayesema kuna ukame ana lake jambo.

Tuna ardhi yenye rutuba, inayohimili rashda na kashda za nyakati zote. Ukame utoke wapi?

Tuache uvivu, tufanye kazi. Hakuna vya bure.

Hii ni "picha duka" mkuu
 
3b71234a71b08c432ed1f42df30e3e7e.jpg


Kwa kijani hiki, anayesema kuna ukame ana lake jambo.

Tuna ardhi yenye rutuba, inayohimili rashda na kashda za nyakati zote. Ukame utoke wapi?

Tuache uvivu, tufanye kazi. Hakuna vya bure.
We mwanaume kweli endelea kutupia vtu kama hivi labda serikali Itatuckia ilete vua
 
Back
Top Bottom