passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,578
- 3,148
Wakuu habari za uzima?
Kama kichwa cha habari kinavyosema, binafsi naona suala la dhambi ni mtazamo na sio kitu universal standard. Dhambi ni uasi na uasi ni kwenda tofauti na sheria.Na kinyume cha uasi ni UTII.
Embu tuangalie mfano wa kabila la banyankole nchini 🇺🇬 Uganda.
Banyankole wanakitu kinaitwa (potency test) kwa maana ya majaribio ya uwezo wa mwanaume kusimamisha uume.
Hili linafanyika vipi?
Nchini Uganda kuna kabila la banyankole, Mara nyingi ndoa huonekana kama mzigo usiofikirika haswa kwa mashangazi wa bibi harusi, kwenye kabila hili nchini Uganda shangazi wa bibi harusi anatakiwa kufanya majaribio na bwana harusi ili kupima uwezo wake kwa kufanya nae mapenzi.
Shangazi ndio huridhia, pia shangazi anapaswa kucheki bikira ya bibi harusi. Hii kwao ni jambo la heshima,kwenda kinyume na jambo hili ni dhambi kwao.
Dini zinatazama vipi kuhusu hili? Kwenye upande wa dini ndoa ni baina ya watu wawili (wakristo) na Mke zaidi ya mmoja(waislamu) kwa maana shangazi hatakiwi hapa kufanya mapenzi na bwana harusi na pia atakiwi kwenda kupima bikira ya bibi harusi.
Isipokuwa tu kuna baadhi ya dhambi ni standard universal kama usiue.
Nikienda umasaani kabla ya kumuamkia mzee masaai warriors wanatemea mate mikono Yao kabla ya kusalimiana na wazee hio ni heshima. Atakutafsiri vipi raisi au bosi wako uteme mate mkononi halafu umpe mkono? Ataona huu ni uasi na ni dharau.
Una mtazamo gani kuhusu hili?
Kama kichwa cha habari kinavyosema, binafsi naona suala la dhambi ni mtazamo na sio kitu universal standard. Dhambi ni uasi na uasi ni kwenda tofauti na sheria.Na kinyume cha uasi ni UTII.
Embu tuangalie mfano wa kabila la banyankole nchini 🇺🇬 Uganda.
Banyankole wanakitu kinaitwa (potency test) kwa maana ya majaribio ya uwezo wa mwanaume kusimamisha uume.
Hili linafanyika vipi?
Nchini Uganda kuna kabila la banyankole, Mara nyingi ndoa huonekana kama mzigo usiofikirika haswa kwa mashangazi wa bibi harusi, kwenye kabila hili nchini Uganda shangazi wa bibi harusi anatakiwa kufanya majaribio na bwana harusi ili kupima uwezo wake kwa kufanya nae mapenzi.
Shangazi ndio huridhia, pia shangazi anapaswa kucheki bikira ya bibi harusi. Hii kwao ni jambo la heshima,kwenda kinyume na jambo hili ni dhambi kwao.
Dini zinatazama vipi kuhusu hili? Kwenye upande wa dini ndoa ni baina ya watu wawili (wakristo) na Mke zaidi ya mmoja(waislamu) kwa maana shangazi hatakiwi hapa kufanya mapenzi na bwana harusi na pia atakiwi kwenda kupima bikira ya bibi harusi.
Isipokuwa tu kuna baadhi ya dhambi ni standard universal kama usiue.
Nikienda umasaani kabla ya kumuamkia mzee masaai warriors wanatemea mate mikono Yao kabla ya kusalimiana na wazee hio ni heshima. Atakutafsiri vipi raisi au bosi wako uteme mate mkononi halafu umpe mkono? Ataona huu ni uasi na ni dharau.
Una mtazamo gani kuhusu hili?