Tambala mbovu
Member
- Sep 9, 2014
- 55
- 62
Usajili una tegemea kufunguliwa kwa dirisha la usajili...!!!Kwa soka la bongo inawezekana kabisa tena wala usishangae.
Kuna Tofauti kubwa baina ya kuingia mkataba na kufanya usajili....!!!
Dirisha la usajili bado wewe una sema bongo Ina wezekana.
Hebu toa mfano mchezaji ambae amesajiliwa bila dirisha la usajili kufunguliwa.
TMS ndio Ina onyesha usajili wa mchezaji na Ina funguka kwa Vipindi maalumu tu.