vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,357
- 2,496
Droo imepangwa na ni dhahiri shahiri, Yanga imekutana na timu ambayo hakuna timu anayetamani akutane nae. Mamelod ndio timu inayoogopwa na kila mmoja ila Yanga ndio imepangwa nao.
Ni vizuri kupimana ubavu na squad ya Yanga iliyokamili ila kama ikitokea kuna mchezaji wa muhimu kamiss basi ni bahati mbaya unaenda vitani ukiwa haujabeba silaha zako kamili lakini lazima ukapigane.
Je, Aucho atakuwa amerejea uwanjani? Yanga bila Aucho ina struggle sana ni roho ya Yanga iliyo bora.
Ni vizuri kupimana ubavu na squad ya Yanga iliyokamili ila kama ikitokea kuna mchezaji wa muhimu kamiss basi ni bahati mbaya unaenda vitani ukiwa haujabeba silaha zako kamili lakini lazima ukapigane.
Je, Aucho atakuwa amerejea uwanjani? Yanga bila Aucho ina struggle sana ni roho ya Yanga iliyo bora.