Ni namna ipi nzuri ya kutoa fungu la kumi?

Hao ni matapeli tu soyo kuendesha familia ili wanunue train na ndege na magari ya kifahari. UTAPELI MTÙPU

Huo utapel wao mm hauniusu mm natoka kama mkristo kama wao wananunua wanawake na pesa ya fungu la kumi mm nilitoa basi Mungu ndio mwenyewe ata waukumi na siyo mm
Mm nafanya sehemu yangu kama mkristo anayetaka injir isonge mbele,
Coz kazi ya kusambaza injir ni ya kila mkristo, ukisoma biblia habari za mitume ya yesu walivyoacha vyote kwaanjir injir ifike ata kwetu sisi basi inabudi na mm kuchangia kila mwezi kufanya injir kufika sehemu nyingine coz ni kazi ya kila mkristo
Kama unaweza husitoe fungu la kumi na kutoa maubir ya Mungu ata barabara kwa masaa ata 24 kwa mwezi siyo mbaya coz utakuwa umetoa mchango mkubwa kuliko ata sisi tunaotoa kanisan
 
Sijapinga unachosema lakini pia tusimnyime nafasi Roho wa Mungu kutuongoza pia!
 
Ndugu, hatutafikia muafaka katika jambo hili. Kama nitaongozwa na kitu kingine ambacho siyo Roho wa Mungu kupeleka fungu la kumi mahali pengine badala ya kanisani basi nitakuwa nimetenda dhambi. Lakini kama ni Roho wa Mungu kweli kweli hakuna doctrine kutoka kwa mtu yeyote atakayenifundisha tofauti na ninavyoelewa. Over!
 
ubarikiwe mtu wa Mungu. Tuko miguuni kwa Yesu tunajifunza kila siku. Mungu anayesoma mioyo na nia akuongoze katika njia sahihi.
 
Dah!

Naona andiko linatimia sasa kwa wakati ule wa kuitafuta "kweli yake" hata kwa tochi na tusiione.

Nami nilijisogeza ili nipate kujifunza kama alivyoanzisha mleta mada lakini badala ya kujifunza nimeambulia kuvurugwa kabisa.

Naona bora niendelee kushika sana nilichonacho maana tuendako hata hii imani haba niliyonayo naweza kunyang'anywa.

Nimeamia kuanzia sasa nasafisha njia zangu na fungu la kumi ntapeleka kanisani.

Waibe wasiibe hainihusu, mie ntamwambia Mungu nimekiletea fungu langu la kumi hapa kanisani lipokee...narudi nyumbani kupokea baraka zako. Full Stop!
 
Sadaka unaweza kutoa popote, ukampa yoyote...

Fungu la kumi pelekea kanisani au msikitini, hayo ndiyo mapato na matumizi yao...


Cc: mahondaw
Ndivyo tulivyodanganywa na wachungaji miaka yote.

There is no such thing as ZAKA katika Agano la Kristo Yesu
 
Mkuu hata ukitoa kwa wahitaji ambao wasiojiweza ni sawa tuu.

HAKUNA. UMEMPOTOSHA.

FUNGU LA KUMI SIYO SADAKA. FUNGU LA KUMI HALITOLEWI BALI LINALIPWA. SADAKA NI HIYARI NA UNAWEZA KUMPA MTU YEYOTE. FUNGU LA KUMI NI LAZIMA NA LINALIPWA KWA UTARATIBU WAKE. KWA KUANZIA SOMENI "MALACHI 3: 9 ...." MKISHASOMA MNIAMBIE NIJE KWA MAJADILIANO NA MISTARI MINGINE YA NENO.
 
Ila jamaa unadharau sana inaonyesha. Eti Jadilianeni!!

Anyway, fungu la kumi kama "UMEOKOKA" sio questionable, na kama huna uhakika na huku unajiita umeokoka, bora urudi tu kwenye dini yako ya zamani maana you wont go anywhere.

Malaki ni jibu.
 
Ila jamaa unadharau sana inaonyesha. Eti Jadilianeni!!

Anyway, fungu la kumi kama "UMEOKOKA" sio questionable, na kama huna uhakika na huku unajiita umeokoka, bora urudi tu kwenye dini yako ya zamani maana you wont go anywhere.

Malaki ni jibu.
Walokole Wanafiki kama Wasabato na wengineo.

Hiyo Malaki ni TORATI,au hulijui hilo?

Ni agizo la Mungu kwa wafuata Torati, na nyie huwa mnasema hamuifuati Torati.

Sasa kwa nini mnajichomeka hapo kwenye mstari wa Zaka ambao IN THE REAL SENSE ni mkazo wa agizo la Torati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…