mzee wetu mohamed said hana interest ya kuzungumzia wazee wa imani tofauti na ile yetu ambao walisaidiana na nyerere katika harakati za kutafuta uhuru.
yeye hujikita zaidi kuzungumzia mchango wa wazee wake wa kariakoo tu. historia ya hao wazee wengine kutoka uchagani na usukumani, sio focus ya mohamed said.
kwa mantiki hiyo, usitegemee maelezo yoyote positive kutoka kwake yanayohusu familia ya mbowe na uhusiano wao na nyerere katika harakati za kutafuta uhuru.