[CENTERHabarin wanabodi.... Kumekuwepo na wanasiasa wengi katika vyama mbali mbali wamekuwa wakitumia nguvu nyingi ikibidi na pesa kuwavutia wananchi kujiunga na vyama vyao vya siasa pasipo ya wao kujua siasa zao zinawavutia wananchi? Sasa nawaomba tujue je ni wanasiasa/mwanasiasa gani mwenye mvuto kwa sasa na anatoka chama gani?:: haya sasa wanabodi kazi kwenu... Tupieni jina na chama chake
Lowassa alisema amedhalalishwa sanadaaa umetisha,, je lowasa? Au yy alingolewa na tume ya mwakyembe?
tundu lissu,, january makamba, john mnyika,Bernard membe,,na dr.slaa
sijui ziliishia wapi, labda alimaanisha akanunue sumbawanga kule radi ni 1500 unapewa na nyongeza ya mvuahahahaa how about zile mvua zake za kutengenezwa bado zipo?
KOSAM;655" [I said:pasipo ya wao kujua siasa zao zinawavutia wananchi?" [/I]
Navutiwa sana na utendaji wa Tundu Lissu,ana msimamo kwa jambo analoliamini,IQ yake iko juu,ni msafi na kwa namna anavowasumbua CCM angekuwa na tuhuma yoyote hakika angekoma! Amwombe sana mwenyezi Mungu awe ndiye mlinzi wake nami namwombe maisha marefu! Nadhani huyu bwana ndiye MUSA wetu