Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Hakuna kipindi ambacho siasa za vyama vingi zilikuwa zimepambana moto kama enzi za JK na Mkapa.
Kila nikikumbuka enzi za Ukawa, CuF ipo moto, NCCR mageuzi ipo moto, Chadema ipo moto, CCM nayo ipo moto mashabiki wa vyama wako moto, mijadala ya kisiasa, wanasiasa ilikuwa sio mchezo.
Lakini sio sasa hivi siasa za vyama vingi zimepoteza mvuto ule ushabiki haupo tena umebaki ushabiki wa mpira, siasa hawataki tena kusikia.
Je, nini kimepelekea?
Kila nikikumbuka enzi za Ukawa, CuF ipo moto, NCCR mageuzi ipo moto, Chadema ipo moto, CCM nayo ipo moto mashabiki wa vyama wako moto, mijadala ya kisiasa, wanasiasa ilikuwa sio mchezo.
Lakini sio sasa hivi siasa za vyama vingi zimepoteza mvuto ule ushabiki haupo tena umebaki ushabiki wa mpira, siasa hawataki tena kusikia.
Je, nini kimepelekea?