Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Jamani, mie ni kitambo sana nimeshaacha kuangalia TV. Yani kuona TV labda niwe bar au kwa jirani.
Sasa wageni wengi wakija kwangu wanashangaa kutokuta TV. Kwani kuna shida kutokuwa na TV?
Sasa wageni wengi wakija kwangu wanashangaa kutokuta TV. Kwani kuna shida kutokuwa na TV?