Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
so far sijaona msimamo comprehensive kuhusu hii thread....
nilijifunza hapa ni KUFANYA KWA SIRI.....!kuwa wasiri sana
Msimamo ni kuwa asilimia 100 ya wajumbe wamepinga ndoa wazi.....
Ila kama mmeshindwa kumwagana mikojo mikubwa, basi mkamwagie huko nje lakini kwa siri....
Hii itasaidia yafuatayo:
1.Ndoa hazitavunjika,
2.Vifo visivyotarajiwa havitakuwepo,
3.Kupunguza matumizi ya vipimo vya DNA - kuhakiki mtoto ni wa nani hasa (bora ulee toto la mtu bila kujua, kuliko kugundua mnayeshea kumwagia mikojo yenu mikubwa, mbegu zake zina nguvu kuliko zako):A S thumbs_down:
4.Utamu wa infidelity utaexist (Infidelity ina raha yake, asikudanganye mtu)