UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,693
- 12,326
Unampigia muda gani??
Wiki yote hii nimenchek hajapokea,Leo nilikua nafungia mbuzi nikakuta missed call yake kumcheki hapatikani.
Haha aisee
Unampigia muda gani??
Wiki yote hii nimenchek hajapokea,Leo nilikua nafungia mbuzi nikakuta missed call yake kumcheki hapatikani.
Watanzania mna kila haki ya kushangaa kila kitu kwani mtu anazaliwa, anasoma hadi uprofesa hajawahi kwenda hata Nairobi.kwa hiyo hilo nalo limekushangaza?
G.Bush alivyoruka toka kwenye gari alivyokuja Tanzania uliona? Obama alivyokuwa anamnong'oneza waziri mkuu wa uholanzi na mke wa Obama akakasirika na kwenda kukaa katkat yao uliona? ingekuwa bongo ungesemaje?
Mwaka 2006 Vradimir Putin wa Urusi alienda Japan, na kuanza kucheza dojo na waziri mkuu wa wakati huo, je, angekuwa wa kwetu si ungeshangaa sana KIBO?
Heb uliza vitu vya msingi upate majib ya msingi.
Kwani yule ni raisi? Tuko kipindi cha majaribio tokea 2005