Ni mnyama gani huyu?

Na honey badger ndio yukoje bro?
Honey bedger anakimbia kama hataki
Anakula chochote anachokutana nacho
Anakula nyoka wote
Nyuki wakimuona wanamkimbia
Anachukua asali Kama kaitengeneza yeye
Akikutana na Kobe anakula mpaka Gamba lake
Ni mnyama anayeongoza kwa kutokua muoga porini
Hawezi kuuawa na mnyama yoyote
Huyo ndio Honey bedger mwenyewe a.k.a nyegere.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaosema huyo ni nyegere mna utaniiii..

Thubutuuuuuuuu....
Nyegere a.k.a honey badger umgalagaze kiasi hichoo?
Huyu ni kicheche...

Angekua ni nyegere, Napendaka kumuita
Mr Die harder,

Hio picha ya mtoa mada ingekua ya Maiti ya mbwa,
kama mbwa ni mbabe basi kujitahidi kwake angalau tungeona maiti mbili hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…