Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Kama mkristo yawezekana umeoa unakumbwa na swali kama hilo juu...wakristo mliooana mnaweza kutumia style yoyote,kutumia mkao ule ule kila wakati kunachosha kama vile kule mboga aina moja katika kila mlo
waliooana wengi hufurahia mkao wa mume kukaa kwa juu faida ya mkao huo mume anaweza kutawala vitendo na hili humsaidia kuepuka kumwaga mbegu mapema
MKAO MWINGINE MKE KUKAA KWA JUU..FAIDA YA MAKO HUU NI KWAMBA MKE ANAWEZA KUJENGA MSISISMKO WAKE KWA KUJIZUNGUSHA KAMA PIA AMA NDEGE AKITAFUTA RUNWAY YA KUTULIA....THROUGH VFR,
MKAO MWINGNE NI UPANDE UPANDE...HII UUME HUKUNA KUNA SEHEMU ZA UKE NA BAADHI YA WANAWAKE HUCHANGANYIKIWA KABISA KABISA NA KUHISI WAKO SAYARI NYINGINE;USIWE MWOGA FANYA AMA SEMA KWA MKEO KUMJULISHA UNATAKA KUFANYA MAPENZI YA DESIGN..UWE MBUNIFU ...ILA USIZIDISHE AKIPATA MIMBA ...UTAMTOA MTTOTO...
ALAMSIKI WAPENDWA
waliooana wengi hufurahia mkao wa mume kukaa kwa juu faida ya mkao huo mume anaweza kutawala vitendo na hili humsaidia kuepuka kumwaga mbegu mapema
MKAO MWINGINE MKE KUKAA KWA JUU..FAIDA YA MAKO HUU NI KWAMBA MKE ANAWEZA KUJENGA MSISISMKO WAKE KWA KUJIZUNGUSHA KAMA PIA AMA NDEGE AKITAFUTA RUNWAY YA KUTULIA....THROUGH VFR,
MKAO MWINGNE NI UPANDE UPANDE...HII UUME HUKUNA KUNA SEHEMU ZA UKE NA BAADHI YA WANAWAKE HUCHANGANYIKIWA KABISA KABISA NA KUHISI WAKO SAYARI NYINGINE;USIWE MWOGA FANYA AMA SEMA KWA MKEO KUMJULISHA UNATAKA KUFANYA MAPENZI YA DESIGN..UWE MBUNIFU ...ILA USIZIDISHE AKIPATA MIMBA ...UTAMTOA MTTOTO...
ALAMSIKI WAPENDWA