fimbo ya mbali haidedish snake .
pole kaka bt she iz away n
full in love wth somebody else
kubali hali,meza maumivu then move on
pole bt ukweli ni uo ( ANGEKUWA ANAKUPENDA KWELI ANGEKUSHIRIKISHA KILA KITU NA ASINGEKUWA MZITO KIMAWASILIANO ITS JUST LABDA KAJA UKU DAR KWA JAMAAA YAKE SO HAWEZ KUWA ON NA MAWASILIANO JUU YAKO)
Dr, Haya hapo juu ndio majibu sahihi ya tatizo lako, nyingine zoote hadithi na elimu mwanana wana JF wanakupa juu ya mtazamo wako kuhusu makabila (sijui mara ya mwisho ulifika lini bongo, lakini mimi naona kwa mtazamo wangu makabila yote kwa sasa mabinti wana tabia zinazofanana waliyorithi toka globalization). Anza upya sahau kabila chapa kazi!