koba lee
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 982
- 1,610
Kumekucha wakuu!
Kuna hii kitu huwa nafanya afu baadae naanza kujuta,unakuta naanzisha mahusihano na mwanamke siku ya kwanza kwenye mgegedo hua niko makini na huwa sikubali kabisa kwenda dry na siku nyingne kama tatu au nne lakin baada ya hapo naanza kumzoea taratiiiibu ndomu inaanza kusahaulika naanza kuvua pipi ganda lake,sasa sijui ndo kuanza kumuamin au ni vp,au shetani wa mahabati ananizid nguvu.
Nauliza bandugu hivi ni mimi tu au tuko wengi wa namna hii.
Nawasilisha.
Kuna hii kitu huwa nafanya afu baadae naanza kujuta,unakuta naanzisha mahusihano na mwanamke siku ya kwanza kwenye mgegedo hua niko makini na huwa sikubali kabisa kwenda dry na siku nyingne kama tatu au nne lakin baada ya hapo naanza kumzoea taratiiiibu ndomu inaanza kusahaulika naanza kuvua pipi ganda lake,sasa sijui ndo kuanza kumuamin au ni vp,au shetani wa mahabati ananizid nguvu.
Nauliza bandugu hivi ni mimi tu au tuko wengi wa namna hii.
Nawasilisha.
