Ni mimi tu au kuna na wenzangu

Ni mimi tu au kuna na wenzangu

Nna ktambo cjapima kinachofanya niogope ni hkhk tunachojadili hp ingawa huwa najitahidi ilowe niwe kibamia kabsaaa sometimes huwa naongezea mafuta cpendi vtu mnato ila bdo siamini km nko salama!
Unmenikumbusha jamaa yangu moja anaogopa kupima balaa, yaani hata kukaribia tu maeno ya kupima anaogopa sana.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila siipendi hii tabia
Hauko peke yako wengi hawawezi kutumia kinga kwenye mahusiano ya muda mrefu.
La muhimu ni kuoa ili ujifaidie mkeo bila hofu ya maradhi na mambo mengine
 
Hiyo ni wewe tu na ukipata magonjwa ya zinaa ndio ukome


Mi napita tu kuna mtu namtafuta humu
 
Ndom mara nyingi inatumika kwa wanawake wa kawaida, ukikutana na mzuri unajitoa sadaka kwani kufa sh ngapi
 
Ni ww tu mkuu mm kuna dem nipo nae toka 2015 mpaka leo natumia ndomu na sio huyo tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom