Ni mimi tu au kuna na wenzangu

Ni mimi tu au kuna na wenzangu

Inaonekana umeshajichoka. Huoni thamani ya kuishi. Pili utakuwa huwathamini wenzako unawaweka hatarini kwa kuwaambukiza magonjwa kama wewe tayari unayo.

Dont be selfish. Hata wewe unaweza kuwaambukiza.

Soln kabla ya gegedo la kavukavu nendeni mkapime kwanza.
 
Siku ukifuma vidonge kwenye pochi, ukavipiga picha na kuja jf kuuliza "wakuu hivi ni vidonge gani"
Ndo utajua papuchi haijawahi kumuacha mtu salama....
Naomba hiyo kitu isijekutokea mkuu
 
Inaonekana umeshajichoka. Huoni thamani ya kuishi. Pili utakuwa huwathamini wenzako unawaweka hatarini kwa kuwaambukiza magonjwa kama wewe tayari unayo.

Dont be selfish. Hata wewe unaweza kuwaambukiza.

Soln kabla ya gegedo la kavukavu nendeni mkapime kwanza.
Asante kwa ushauri mkuu ntaufanyia kazi
 
Sio peke yko asee mm pia huwa najiuliza hlo swali mwanzoni nakuwa muoga sana baadae najionea fresh tu najihalalishia kwamba hyu yko fresh kumbe najikaanga kwa starehe ya dk kadhaa tu ah....mungu mwenyewe tu atulinde kwa akili zetu tushafail!
 
Yan na kwenda kote dry hujawahi hata singiziwa mimba? Nenda kapimwe mbegu zako kama zina kizazi...
 
Sio peke yko asee mm pia huwa najiuliza hlo swali mwanzoni nakuwa muoga sana baadae najionea fresh tu najihalalishia kwamba hyu yko fresh kumbe najikaanga kwa starehe ya dk kadhaa tu ah....mungu mwenyewe tu atulinde kwa akili zetu tushafail!
Sijui hua tunakumbwa na nn mkuu,daah
 
Sijui hua tunakumbwa na nn mkuu,daah
Nna ktambo cjapima kinachofanya niogope ni hkhk tunachojadili hp ingawa huwa najitahidi ilowe niwe kibamia kabsaaa sometimes huwa naongezea mafuta cpendi vtu mnato ila bdo siamini km nko salama!
 
Hapo tupo wengi mkuu. Ila nakushauri hata kabla ya ku-do kwa mara ya kwanza hata kama utatumia mpira ila mpime kwanza HIV ni muhimu kwa afya yako.

Kumbuka: katika maisha ya binadamu mtaji wa kwanza na muhimu huwa ni afya.
 
So sisi tu,hata wagegedwaji hutaka zitumike Mara ya 1&2 lkn baada ya apo utaambiwa ooooh sisikii utamu, oooh huniamini nk...alaf zaman walikua wanaogopa mimba lkn siku iz kila mtu anatumia uzazi wa mpango,

Kutumia au kutotumia kondom ni akili ako mwenyewe mgegedaji.
 
So sisi tu,hata wagegedwaji hutaka zitumike Mara ya 1&2 lkn baada ya apo utaambiwa ooooh sisikii utamu, oooh huniamini nk...alaf zaman walikua wanaogopa mimba lkn siku iz kila mtu anatumia uzazi wa mpango,

Kutumia au kutotumia kondom ni akili ako mwenyewe mgegedaji.
Kwel mkuu
 
mie huwa navaa kabisa ila nikishachomeka na kutoa naivua hapohapo baada ya hapo dry tu
 
Tangu nianze hii mambo, sijui starehe ya kula pipi na ganda lake*ila siki moja tuu!!, Nili jaribu aysee!! Yaani nilivyo ingia nika,enda tako 3, daah!!sikuhisi utam Nikachomoa ngoma nika tupia ka kavukavu, daah nilihisi hakuna kifo wakuu,, ile kitu nitam Balaaa!! Hadi leo sijawahi vaa na niko kamili kinoma, na maisha yanasooonga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom