Ha ha ha ha ha ha huyo mwanamke wala hana tatizo binfas sipendi mwanaume anaeongea sana, napenda mpole yani awe na story za kawaida, hivyo ulivyoandika tu waonekana mtu wa sifa, usikute maongezi yoooote unakazi yakuelezea sijui miewatu wananipenda nachekesha nina vitabu yani hayo maelezo yako tu mie yamnibore sipati picha huyo dada uko nae live unapiga tu mikelele kama unaomba kura, usikute hata bashasha huna za kumshikashika kwakweli pole, mie nimemuelewa mwanamke, tatizo jengine wanaume waongeaji sana wengi zero chumbani ha ha ha ha ha ah ahaahahahahah aati wadada ndo wanvyodai lakini.