white hat
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 3,323
- 2,487
Waha wakigoma. Wanavuta vidude kwenye papuchi na kuwa marefuuuu
Hali yakuwa wenzetu wanakata
ngoja waha waje watujuze zaidi
Waha wakigoma. Wanavuta vidude kwenye papuchi na kuwa marefuuuu
Hali yakuwa wenzetu wanakata
Umendika nini hapa nduguWaha wakigoma. Wanavuta vidude kwenye papuchi na kuwa marefuuuu
Hali yakuwa wenzetu wanakata
Hahahaha! Tuvumilie Mkuu ila hata mie inanikera sana, siku moja miaka ya nyuma tulienda kulima kwa jamaa kwa kutumia ng'ombe sasa muda Wa chakula cha mchana wakaleta ugali na hawaonyeshi dalili ya wali, watu tukapiga ugali dadeki kumbe wali umepikwa asubuhi ili tusigundue kuwa kuna wali, yaani watu wameshiba ugali halafu wanaleta wali.Wasukuma bwana..... kukiwa na sherehe hasa zile za kilimo wakati wa chakula ni ugali kwanza unatangulia, watu wanakula na kushiba halafu wali unafuatia. Yaani kwao wali ni mboga tu, ukiwapa wali na ndizi au nyama wanasema MBOGA KWA MBOGA.
Hahahaaa. sasa hapu ukute umeshashindilia tonge za ugali za kutosha kwa hasira ya kukosa ubwabwa, utatamani ujitapishe uanze upya.Hahahaha! Tuvumilie Mkuu ila hata mie inanikera sana, siku moja miaka ya nyuma tulienda kulima kwa jamaa kwa kutumia ng'ombe sasa muda Wa chakula cha mchana wakaleta ugali na hawaonyeshi dalili ya wali, watu tukapiga ugali dadeki kumbe wali umepikwa asubuhi ili tusigundue kuwa kuna wali, yaani watu wameshiba ugali halafu wanaleta wali.
Mbona Kama points za DS mkuuAisee kuna hawa waruguru WA morogoro aisee wana culture flani ya kigodoro aisee inaleta umaskini kwenye kaya zao halafu wala hata hawashutki walikua wanshangaza sana
Of course ni culture ya kishenzi sana kwenye jamii no future, poorer families, poor social economy,
High rate of HIV, poor and sometimes absence of social particularly family control in most cases
Wanachojua wao ni ngono tu na pombe vijana kucheza poor na mpira elimu ziro kabisa waha jamaa wao na culture yao ya kigodoro ni bure kabisa
Hiyo culture yao ya kidogoro ndo inaleta vyote hivyo vipi Mkuu we unaona vigodoro vipo powa ni vya kuvifanya viendelee na kuvisifiaMbona Kama points za DS mkuu
Wasukuma bwana..... kukiwa na sherehe hasa zile za kilimo wakati wa chakula ni ugali kwanza unatangulia, watu wanakula na kushiba halafu wali unafuatia. Yaani kwao wali ni mboga tu, ukiwapa wali na ndizi au nyama wanasema MBOGA KWA MBOGA.
Hahahaha! Tuvumilie Mkuu ila hata mie inanikera sana, siku moja miaka ya nyuma tulienda kulima kwa jamaa kwa kutumia ng'ombe sasa muda Wa chakula cha mchana wakaleta ugali na hawaonyeshi dalili ya wali, watu tukapiga ugali dadeki kumbe wali umepikwa asubuhi ili tusigundue kuwa kuna wali, yaani watu wameshiba ugali halafu wanaleta wali.
Teh wasukuma wana vituko sana. Wasukuma hasa wanyantuzu mwanamke akifariki wakati wa kujifungua wanawake wanachuma fimbo na kuanza kutembea barabarani ole wake wakutane na mwanaume atakula viboko vya kutosha.Hahahaaa. sasa hapu ukute umeshashindilia tonge za ugali za kutosha kwa hasira ya kukosa ubwabwa, utatamani ujitapishe uanze upya.
HaaaaWatu wa kwenye mlima mrefu na wizi, hilo limenishangaza.
Mm mchaga lakini hiyo niliisahauWatu wa mbeya kupiga vigeregere msibani
Wachaga mwanaume kulala ukweni marufuku
Wazaramo kukaa maziwa wazi mkoleni
Wapare uchoyo( natania) haha
Sio kweli ,,unaongopa ,,Hakuna destur iyo kwetu ,,uliza vizurWaha wakigoma. Wanavuta vidude kwenye papuchi na kuwa marefuuuu
Hali yakuwa wenzetu wanakata
Hujui kusoma?Umendika nini hapa ndugu
Wanapenda vigodoro kuliko kulaAisee kuna hawa waruguru WA morogoro aisee wana culture flani ya kigodoro aisee inaleta umaskini kwenye kaya zao halafu wala hata hawashutki walikua wanshangaza sana
Of course ni culture ya kishenzi sana kwenye jamii no future, poorer families, poor social economy,
High rate of HIV, poor and sometimes absence of social particularly family control in most cases
Wanachojua wao ni ngono tu na pombe vijana kucheza poor na mpira elimu ziro kabisa waha jamaa wao na culture yao ya kigodoro ni bure kabisa
Wambeya hapo vigelegele na pombe za kumwagaWatu wa mbeya kupiga vigeregere msibani
Wachaga mwanaume kulala ukweni marufuku
Wazaramo kukaa maziwa wazi mkoleni
Wapare uchoyo( natania) haha