siad bare
Senior Member
- Jul 13, 2017
- 123
- 91
Chinumile munu chakumemena!Wazee wa ntu na ntu ukisimama nchale ukikimbia nchale.
Walinishangaza kula Samaki nchanga.
Chinumile munu chakumemena!Wazee wa ntu na ntu ukisimama nchale ukikimbia nchale.
Walinishangaza kula Samaki nchanga.
Hahahahaha shost mm mnyasa bhanaKwahiyo na wewe umekirefusha chako et
NdioooKhe kumbe kweli mi nilijua ni stori tu
Wamekuaje?Na Wajaluo Je?
Mkuu umemaanisha nini hapo maana na marafiki wa huko nikawatishie hapoChinumile munu chakumemena!
Mara mnyasa Mara muha tukuelewej?!,,!Hahahahaha shost mm mnyasa bhana
Jane we umejuaje kuwa hizo sehemu zao ziko hivyo?!..
Waha wenyewe wanakataaSio kweli ,,unaongopa ,,Hakuna destur iyo kwetu ,,uliza vizur
Mm muha ndo nakwambia
Hahaha, hao waha wamjini ila wale Wa vujijini hawatanipingaMara mnyasa Mara muha tukuelewej?!,,!
Waha wenyewe wanakataa
Hahaha kinadharia ni rahisi kusema hivyo,lakini ikikutokea u lazima utakuwa mnyonge tu,labda aliekufumania naye awe hana nguvu.
Kuna mlaamu anarudisha vitu vilivyoibiwa yupo mafinga kijiji cha sadaniWakuu me niko nje ya maada kidogo Mimi nashida ya kupata mtaalam WA dawa atakayeweza kukusaidia kupata begi langu lilikua na vitu vyangu Vya msingi ambalo aliliazima Rafiki yangu akidai atalirudisha baada ya dk kumi Tu lakin mpaka sasa hajarudisha beg langu yapata miezi mitatu sasa na huu WA tisa Ni WA nne.
Naombeni msaada wenu wana jf maana kwao sipajui ILA nafahamu alipokua amepanga Tu napo ameshahama haelewek alipohamia simu yangu alishaiblock hata nikitumia no tofauti akisikia sauti yang Tu hataki kusema wapi alipo hata nikituma SMS kwa no tofauti hajibu.
Naombeni saaana msaada wenu maana nawaza saaana kuhusu vitu vyangu huenda kaenda kufanyia mambo yake sababu kulikua na nguo PIA nawaza saaana mpaka nimeamua kuwaeleza
Hawa jamaa ndio mila/jadi zao mkuu..wanaitwa Waburushi...hatari sana hawa watuWapo kwenye sherehe hali inakua hvyo je wakiwa na hasira inakuaje
kulitamka hadharani ndio wenyewe wanasema "AMETOGOLA BABA MKWE WAKE" unaweza kulipa faini na kupewa onyo kwa utovu wa nidhamu!
Pia Wahaya, wazinza huvuta vidude sehemu ile.Waha wakigoma. Wanavuta vidude kwenye papuchi na kuwa marefuuuu
Hali yakuwa wenzetu wanakata
Wasukuma wa mkoa ganiWasukuma bwana..... kukiwa na sherehe hasa zile za kilimo wakati wa chakula ni ugali kwanza unatangulia, watu wanakula na kushiba halafu wali unafuatia. Yaani kwao wali ni mboga tu, ukiwapa wali na ndizi au nyama wanasema MBOGA KWA MBOGA.
Eroo ni singiri na ngukuuWamasai wenzangu kutokula samaki,kuku na ndege wengineo pamoja na mayai yao.Cha ajabu ukienda umasaini unakuta wanafuga kuku lakini kula hawali,basi mie mmasai wa pwani nkienda nawafakamia vyuku balaa,asubuhi napasua yai kama tano hivi kwenye kikaangio natoa kitu cha omlete wanabaki kunishangaa tu.