Ni mbunge gani aulize swali hili bungeni?

Ni mbunge gani aulize swali hili bungeni?

Marire

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
12,333
Reaction score
5,312
Wakuu heshima kwenu,

Kama mtakumbuka waziri wa Elimu miaka kama miwili alisema kuwa ataunda tume ya kuratibu ADA za shule kwenye private school nchini,toka alisema hivyo sijaona chochote kikiendelea.

Najua atakuwa amekutana na changamoto ya mawaziri wenzake na wabunge wa CCM kumiliki utitiri wa shule,kama Komba anazo saba!

Ni mbunge gani wa kushupalia hili swala kwani sisi wenye kusomesha bado wamiliki wa shule binafisi wanatupandishia karo kila mwaka na hapa nina barua wa kuitwa kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa madarasa shule binafisi!

Naomba kuwasilisha!
 
naunga mkono hoja. wengi ni waathirika wa hii kitu nikiwemo mimi. huwezi amini ada ya chekechea kwenye shule za private ni kubwa kuliko ada ya mtu anayesoma medicine pale muhimbili au engineering pale mlimani.

Wakuu heshima kwenu,

Kama mtakumbuka waziri wa Elimu miaka kama miwili alisema kuwa ataunda tume ya kuratibu ADA za shule kwenye private school nchini,toka alisema hivyo sijaona chochote kikiendelea.

Najua atakuwa amekutana na changamoto ya mawaziri wenzake na wabunge wa ccm kumiliki utitiri wa shule,kama komba anazo saba!

Ni mbunge gani wa kushupalia hili swala kwani sisi wenye kusomesha bado wamiliki wa shule binafisi wanatupandishia karo kila mwaka na hapa nina barua wa kuitwe kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa madarasa shule binafisi!

Naomba kuwasilisha!
 
wamiliki wakubwa wa hizi shule ndio hao hao so kuna issue ya conflict of interest sidhan kama hili jambo litapata kipaumbele bungeni!!! jk alizungumza tu kama kasuku huku akijua ukweli wake!!!
 
Kwani lazma umpeleke mwanao hizo shule. Soko hulia. Cha kufuatilia ni kama inakidhi viwango vya Elimu inayotolewa
 
Mkuu magamba hata yakiambiwa hayasikii komaa tu kivyako
 
Anaweza uliza MB yeyote isipokuwa asiulize kuwa kutaka sofa. Lakini najiuliza huwa unakuwaje ukiambiwa uchangie maendeleo ya shule za umma,mfano desks, vitanda,vitabu au hata maabara watu huwa tunasonya na kutukana wakati while hizo za umma zinaweza saidia wengi,lakini tupo tayari kuchangia kiasi kikubwa kwenye hizi shule binafsi ili hall wanaufaika Ni wachache?!
 
ada itapungua kama serikali itatoa ruzuku kama kwa shule za umma.
pia huduma za private n nzuri na ziko juu kuliko gvt.
kama huridhiki nazo...... mtoe huko shulr n nying na hiyo ni biashara
 
Umesahau ule usemi wa kila mbuzi atakula urefu wa kamba yakee...!
 
Haya ndo mambo ya kujadili ila wabongo sijui tukoje aisee
 
samora10 nimeuliza kwa niaba ya watanzania wengine ni kama sumatra waseme hawapangi bei alafu hiace zikipandisha nauli ukilalamika nikwambia ununue gari yako?je ni sawa?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom