mfukunyunzi
Senior Member
- Mar 4, 2011
- 142
- 26
Naomba mnisaidie kujua aina tofauti tofauti za mazoezi yatakayoniwezesha kuwa na pumzi kwa maana nikifanya zoezi dogo tu naishiwa pumzi.
Ndugu wanajamii naomba msaada wenu tafadhali.
Ndugu wanajamii naomba msaada wenu tafadhali.