Wanamsubiri kwa hamu Mh.Lissu na Dereva wake kama vifaranga wa ndege wasubirivyo mama yao arudi wapate kurarua atakacholeta.Binafsi nashangaa sana kwamba Dr Mollel hajaitwa kuisaidida polisi; atawasaidia hata kujua ulinzi pale area D uliondolewa kwa amri ya nani na CCTV cameras ziliondolewa kwa amri ya nani!
Sina uhakika kama watajishughulisha na walinzi au CCTV footage zilipo.Wanahamu na Mh.Lissu/Dereva wawararue ili wasemeni kina nani waliwashambulia?
Aibu!!!