Bee mwana beh!
Kinachouzwa hapo ni nini? Ni central burudisharing unit au full case?
Box ndio linalouzwa.
Bee mwana beh!
Kinachouzwa hapo ni nini? Ni central burudisharing unit au full case?
bora umeelewa........halafu nimekumiso....long tyme sana bana........
jamani si mkono huo hapo unaonyesha bidhaa.......au aje mwenyewe atufungulie....sio atuuzie kwenye box.......
jamani si mkono huo hapo unaonyesha bidhaa.......au aje mwenyewe atufungulie....sio atuuzie kwenye box.......
Preta usikubali mikwara hiyo.Preta nitake radhi....au nitakutilia fitina usipewe mwaliko lile jumba la kifahari la mbezi beach la kulia bata
bora umeelewa........halafu nimekumiso....long tyme sana bana........
View attachment 66604
ni ule usumbufu anaoupata kutoka kwa mabinti.....?
je ni msaada wa kisaikolojia anahitaji....?
amechoshwa na maisha ya mjini....?
au ni nini kinaweza kuwa kinamsumbua.....?
View attachment 66604
ni ule usumbufu anaoupata kutoka kwa mabinti.....?
je ni msaada wa kisaikolojia anahitaji....?
amechoshwa na maisha ya mjini....?
au ni nini kinaweza kuwa kinamsumbua.....?
Hapo kinachouzwa nini jamani? ni hio Biology
umenikumbusha mbali mkuu...hahahaha...biology zangu ni kubwa