Sumti
JF-Expert Member
- Jan 30, 2016
- 2,311
- 2,157
AiseeeeeeNa ridhiwani anaweza kuwa waziri hatujafika hata huko 2030 keep my comment
AiseeeeeeNa ridhiwani anaweza kuwa waziri hatujafika hata huko 2030 keep my comment
Mzee Yusufu MakambeMagamba Matatu,loading.......
Wakienda Act wazalendo sawa, ikiwezekana polepole awe mgombea kwa ticket ya ActMwaka 2030 January Makamba ni mgombea wa CCM!!! Sijasema atakuwa raisi maana kazi itakuwa ngumu kutokana na kwamba tutakuwa na Katiba Mpya ambayo italeta ugumu kwa CCM !!!! Mheshimiwa Polepole ataleta upinzani maana ashaanza kuwakamata akili baadhi ya wa maono Kama yeye na ataleta ushindani ndani ya Chama huku akishindwa anaelekea Chama Kitakachokuwa na Upinzani Mkubwa na si lazima iwe Chadema kinaweza kuibuka kingine maana kwenye siasa lolote laweza tokea japo Bado imani inaendelea kuniaminisha kwamba Chadema itasimama Imara japo kuna mengi hapa kati kati!!!!!
Wakati huo wapiga Zumari Kina Kigogo wa Twitter na Kimambi wa Instagram watakuwa hawana ushawishi Mkubwa Sana kivileee!!!
CCM itapasuka na wakiangalia vibaya kwenye kamchakato ka kuwapitisha wagombea Kuna kundi la wachungaji wa ng’ombe USUKUMANIII litaleta ushindani Mkubwa kwa Kundi la Watoto wa Maji ya Chumvi (karibu na Mujini Darusalaamu)
Kipindi hicho wachambuzi Manguli wa hapa Jamiiforums Kama tindo Kalamu1 The Boss Nyani Ngabu watakuwa wamejichokea na saa nyingine kujitojeza hadharani kwamba sisi ndo Kina fulani
Sina uhakika Kama Pascal Mayalla atakuwa Bado anachambua na kuleta nyepesi za kule jengo jeupe mithiri ya Meli ambako wanaingia Kwa majina maalumu na simu wanazima wanaitana chief ukijichanganya ukaenda kumuuluzia ijumaa aga kabisa kwenu mana unaweza kutoka Jumatatu!!!
Kanisa la mchungaji Gwajima litakuwa ndo basi tena watakuwa wameshaanza kujitokeza waumini wake kusema yasiyo sahihi huku tukiwa midomo wazi…mwaka 2025 Ubgunge anaweza asipate tena ..
Hapo sasa ndo tutaona Tanzania yenye kuheshimiana kidogo maana itakuwa ni uchaguzi wa kwanza chini ya Tume huru na KATIBA Mpya
Britanicca
Hadi sasa Makamba Jr ana alama ipi kwa Watanzania ya kuonyesha?Mwaka 2030 January Makamba ni mgombea wa CCM!!! Sijasema atakuwa raisi maana kazi itakuwa ngumu kutokana na kwamba tutakuwa na Katiba Mpya ambayo italeta ugumu kwa CCM !!!! Mheshimiwa Polepole ataleta upinzani maana ashaanza kuwakamata akili baadhi ya wa maono Kama yeye na ataleta ushindani ndani ya Chama huku akishindwa anaelekea Chama Kitakachokuwa na Upinzani Mkubwa na si lazima iwe Chadema kinaweza kuibuka kingine maana kwenye siasa lolote laweza tokea japo Bado imani inaendelea kuniaminisha kwamba Chadema itasimama Imara japo kuna mengi hapa kati kati!!!!!
Wakati huo wapiga Zumari Kina Kigogo wa Twitter na Kimambi wa Instagram watakuwa hawana ushawishi Mkubwa Sana kivileee!!!
CCM itapasuka na wakiangalia vibaya kwenye kamchakato ka kuwapitisha wagombea Kuna kundi la wachungaji wa ng’ombe USUKUMANIII litaleta ushindani Mkubwa kwa Kundi la Watoto wa Maji ya Chumvi (karibu na Mujini Darusalaamu)
Kipindi hicho wachambuzi Manguli wa hapa Jamiiforums Kama tindo Kalamu1 The Boss Nyani Ngabu watakuwa wamejichokea na saa nyingine kujitojeza hadharani kwamba sisi ndo Kina fulani
Sina uhakika Kama Pascal Mayalla atakuwa Bado anachambua na kuleta nyepesi za kule jengo jeupe mithiri ya Meli ambako wanaingia Kwa majina maalumu na simu wanazima wanaitana chief ukijichanganya ukaenda kumuuluzia ijumaa aga kabisa kwenu mana unaweza kutoka Jumatatu!!!
Kanisa la mchungaji Gwajima litakuwa ndo basi tena watakuwa wameshaanza kujitokeza waumini wake kusema yasiyo sahihi huku tukiwa midomo wazi…mwaka 2025 Ubgunge anaweza asipate tena ..
Hapo sasa ndo tutaona Tanzania yenye kuheshimiana kidogo maana itakuwa ni uchaguzi wa kwanza chini ya Tume huru na KATIBA Mpya
Britanicca
Mwaka 2030 January Makamba ni mgombea wa CCM!!! Sijasema atakuwa raisi maana kazi itakuwa ngumu kutokana na kwamba tutakuwa na Katiba Mpya ambayo italeta ugumu kwa CCM !!!! Mheshimiwa Polepole ataleta upinzani maana ashaanza kuwakamata akili baadhi ya wa maono Kama yeye na ataleta ushindani ndani ya Chama huku akishindwa anaelekea Chama Kitakachokuwa na Upinzani Mkubwa na si lazima iwe Chadema kinaweza kuibuka kingine maana kwenye siasa lolote laweza tokea japo Bado imani inaendelea kuniaminisha kwamba Chadema itasimama Imara japo kuna mengi hapa kati kati!!!!!
Wakati huo wapiga Zumari Kina Kigogo wa Twitter na Kimambi wa Instagram watakuwa hawana ushawishi Mkubwa Sana kivileee!!!
CCM itapasuka na wakiangalia vibaya kwenye kamchakato ka kuwapitisha wagombea Kuna kundi la wachungaji wa ng’ombe USUKUMANIII litaleta ushindani Mkubwa kwa Kundi la Watoto wa Maji ya Chumvi (karibu na Mujini Darusalaamu)
Kipindi hicho wachambuzi Manguli wa hapa Jamiiforums Kama tindo Kalamu1 The Boss Nyani Ngabu watakuwa wamejichokea na saa nyingine kujitojeza hadharani kwamba sisi ndo Kina fulani
Sina uhakika Kama Pascal Mayalla atakuwa Bado anachambua na kuleta nyepesi za kule jengo jeupe mithiri ya Meli ambako wanaingia Kwa majina maalumu na simu wanazima wanaitana chief ukijichanganya ukaenda kumuuluzia ijumaa aga kabisa kwenu mana unaweza kutoka Jumatatu!!!
Kanisa la mchungaji Gwajima litakuwa ndo basi tena watakuwa wameshaanza kujitokeza waumini wake kusema yasiyo sahihi huku tukiwa midomo wazi…mwaka 2025 Ubgunge anaweza asipate tena ..
Hapo sasa ndo tutaona Tanzania yenye kuheshimiana kidogo maana itakuwa ni uchaguzi wa kwanza chini ya Tume huru na KATIBA Mpya
Britanicca
Kashindwa umeme ataweza umemeHadi sasa Makamba Jr ana alama ipi kwa Watanzania ya kuonyesha?
Innaminika raisi akiwa mkristo toka ccm anakuwa katili sana,na wanaoteseka ni wa dini zote ...hiyo haina mshiko tena2030 ni zamu ya mkristo,msitake kutuchanganya ,mtaleta Vita
USSR
Sio 2030- bali 20252030 ni zamu ya mkristo,msitake kutuchanganya ,mtaleta Vita
USSR
HahaNa ridhiwani anaweza kuwa waziri hatujafika hata huko 2030 keep my comment
Hadi sasa Makamba Jr ana alama ipi kwa Watanzania ya kuonyesha?
Polepole atakuwa keshasahaulika katika medani, Bashite atakuwa anapalilia mashamba ya magereza ya kilimoMwaka 2030 January Makamba ni mgombea wa CCM!!! Sijasema atakuwa raisi maana kazi itakuwa ngumu kutokana na kwamba tutakuwa na Katiba Mpya ambayo italeta ugumu kwa CCM !!!! Mheshimiwa Polepole ataleta upinzani maana ashaanza kuwakamata akili baadhi ya wa maono Kama yeye na ataleta ushindani ndani ya Chama huku akishindwa anaelekea Chama Kitakachokuwa na Upinzani Mkubwa na si lazima iwe Chadema kinaweza kuibuka kingine maana kwenye siasa lolote laweza tokea japo Bado imani inaendelea kuniaminisha kwamba Chadema itasimama Imara japo kuna mengi hapa kati kati!!!!!
Wakati huo wapiga Zumari Kina Kigogo wa Twitter na Kimambi wa Instagram watakuwa hawana ushawishi Mkubwa Sana kivileee!!!
CCM itapasuka na wakiangalia vibaya kwenye kamchakato ka kuwapitisha wagombea Kuna kundi la wachungaji wa ng’ombe USUKUMANIII litaleta ushindani Mkubwa kwa Kundi la Watoto wa Maji ya Chumvi (karibu na Mujini Darusalaamu)
Kipindi hicho wachambuzi Manguli wa hapa Jamiiforums Kama tindo Kalamu1 The Boss Nyani Ngabu watakuwa wamejichokea na saa nyingine kujitojeza hadharani kwamba sisi ndo Kina fulani
Sina uhakika Kama Pascal Mayalla atakuwa Bado anachambua na kuleta nyepesi za kule jengo jeupe mithiri ya Meli ambako wanaingia Kwa majina maalumu na simu wanazima wanaitana chief ukijichanganya ukaenda kumuuluzia ijumaa aga kabisa kwenu mana unaweza kutoka Jumatatu!!!
Kanisa la mchungaji Gwajima litakuwa ndo basi tena watakuwa wameshaanza kujitokeza waumini wake kusema yasiyo sahihi huku tukiwa midomo wazi…mwaka 2025 Ubgunge anaweza asipate tena ..
Hapo sasa ndo tutaona Tanzania yenye kuheshimiana kidogo maana itakuwa ni uchaguzi wa kwanza chini ya Tume huru na KATIBA Mpya
Britanicca
January nilikuwa namkubali alipoingia top 3 ya wangombea urais 2015 na issue ya mifuko ya plastic, lkn sielewi kwa nini awamu hii anapwaya kwenye hii wizara.Alama yake ni kwa serikali ni bingwa wa michongo kwa kifupi ni mwizi hasie na uoga
Waliongia top 3niJanuary nilikuwa namkubali alipoingia top 3 ya wangombea urais 2015 na issue ya mifuko ya plastic, lkn sielewi kwa nini awamu hii anapwaya kwenye hii wizara.
January nilikuwa namkubali alipoingia top 3 ya wangombea urais 2015 na issue ya mifuko ya plastic, lkn sielewi kwa nini awamu hii anapwaya kwenye hii wizara.
Mm ni mkristo ila hili haliko sawa karne ya 20. Nyerere alianzisha hyo principle ili kutoa kelele kelele maana taifa lilkkua bado changa.2030 ni zamu ya mkristo,msitake kutuchanganya ,mtaleta Vita
USSR