Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,522
- 2,985
Ridhiwani anafaa Sana kwenye uwaziri, dogo Ni kichwa yupo vizuri sanaNa ridhiwani anaweza kuwa waziri hatujafika hata huko 2030 keep my comment
Ridhiwani anafaa Sana kwenye uwaziri, dogo Ni kichwa yupo vizuri sanaNa ridhiwani anaweza kuwa waziri hatujafika hata huko 2030 keep my comment
Ndiomaana kumbe mnamchukia mama mlitaka mkristo ndio amalizie awamu ya mwendazake??;2030 ni zamu ya mkristo,msitake kutuchanganya ,mtaleta Vita
USSR
Amefanya lipi la kumpa heshima?Ridhiwani anafaa Sana kwenye uwaziri, dogo Ni kichwa yupo vizuri sana
Serikali haina dini,halafu wakatoliki mkiongoza Nchi mnakuwa na roho mbaya SanaAkitoka mama anatakiwa aingie mkatoliki. Labda kama mna hamu ya damu.
kamjaza mimba shangazi yakoAmefanya lipi la kumpa heshima?
hebu taja japo moja tu tuungane nawe!
Kanisa ni MOJA, TAKATIFU, KATOLIKI la MITUME.Na kwanini yasiwe madhehebu mengine kama walutheri???
Wakatoliki kama Mkapa au Magufuli wameprove failure
Aisee ila ccm mnaangaika Sana whyMwaka 2030 January Makamba ni mgombea wa CCM!!! Sijasema atakuwa raisi maana kazi itakuwa ngumu kutokana na kwamba tutakuwa na Katiba Mpya ambayo italeta ugumu kwa CCM !!!! Mheshimiwa Polepole ataleta upinzani maana ashaanza kuwakamata akili baadhi ya wa maono Kama yeye na ataleta ushindani ndani ya Chama huku akishindwa anaelekea Chama Kitakachokuwa na Upinzani Mkubwa na si lazima iwe Chadema kinaweza kuibuka kingine maana kwenye siasa lolote laweza tokea japo Bado imani inaendelea kuniaminisha kwamba Chadema itasimama Imara japo kuna mengi hapa kati kati!!!!!
Wakati huo wapiga Zumari Kina Kigogo wa Twitter na Kimambi wa Instagram watakuwa hawana ushawishi Mkubwa Sana kivileee!!!
CCM itapasuka na wakiangalia vibaya kwenye kamchakato ka kuwapitisha wagombea Kuna kundi la wachungaji wa ng’ombe USUKUMANIII litaleta ushindani Mkubwa kwa Kundi la Watoto wa Maji ya Chumvi (karibu na Mujini Darusalaamu)
Kipindi hicho wachambuzi Manguli wa hapa Jamiiforums Kama tindo Kalamu1 The Boss Nyani Ngabu watakuwa wamejichokea na saa nyingine kujitojeza hadharani kwamba sisi ndo Kina fulani
Sina uhakika Kama Pascal Mayalla atakuwa Bado anachambua na kuleta nyepesi za kule jengo jeupe mithiri ya Meli ambako wanaingia Kwa majina maalumu na simu wanazima wanaitana chief ukijichanganya ukaenda kumuuluzia ijumaa aga kabisa kwenu mana unaweza kutoka Jumatatu!!!
Kanisa la mchungaji Gwajima litakuwa ndo basi tena watakuwa wameshaanza kujitokeza waumini wake kusema yasiyo sahihi huku tukiwa midomo wazi…mwaka 2025 Ubgunge anaweza asipate tena ..
Hapo sasa ndo tutaona Tanzania yenye kuheshimiana kidogo maana itakuwa ni uchaguzi wa kwanza chini ya Tume huru na KATIBA Mpya
Britanicca
Endelea kukalili hizo sanamu zenu mnazo sujudia! Neno hamsomi mpo kuitikia tu hata matango pori!Kanisa ni MOJA, TAKATIFU, KATOLIKI la MITUME.
Zingine hizo mbwembwe tu.
Ikikuumiza sana chomoa.Endelea kukalili hizo sanamu zenu mnazo sujudia! Neno hamsomi mpo kuitikia tu hata matango pori!
Yes...Magufuli katufunulia kombe, sidhani kuwa litarudishwa ndani lifunikwe tena
HahaUsije kumfanya January haanze kutembea na biblia na kwenda kanisani!!
Bila kusahau aendele kutukumbusha mara kwa mara alisoma chuo cha kikristo!!
Hafanikiwi kabsaaaaaMakamba kama atafanikiwa kumaliza tatizo la Tanesco na watanzania wakapata umeme wa uhakika na gharama nafuu ndipo atakuwa na uhakika 2030 kuwa mgombea wa CCM
Free kick saa zingine huwa hata refa haoni goli kumbukeni 2015 karatasi ya mfukoni kapewa na naniJannuary na Mama wote team moja, aliyeshika remote ndio ameengineer uwepo wao hapo wote na ndiye anayeicheza game.....kwa sasa anasogeza kete tu ( kwa michezo hiyo ni mtu makini sana maana kuna mtu mpaka leo hana hamu tena anapiga mitungi tu sasa..)... kauli ya mama ni mbinu ya medani kwa mshika remote kuwapoteza maboya then inapigwa free kick kama 2015....
Na ridhiwani anaweza kuwa waziri hatujafika hata huko 2030 keep my comment
Kipindi hiki ulijua kwamba Januari atapewa wizara ya Nishati na madini na kushindwa kuelewa jinsi ya kuiongoza?Mwaka 2030 January Makamba ni mgombea wa CCM!!! Sijasema atakuwa raisi maana kazi itakuwa ngumu kutokana na kwamba tutakuwa na Katiba Mpya ambayo italeta ugumu kwa CCM !!!! Mheshimiwa Polepole ataleta upinzani maana ashaanza kuwakamata akili baadhi ya wa maono Kama yeye na ataleta ushindani ndani ya Chama huku akishindwa anaelekea Chama Kitakachokuwa na Upinzani Mkubwa na si lazima iwe Chadema kinaweza kuibuka kingine maana kwenye siasa lolote laweza tokea japo Bado imani inaendelea kuniaminisha kwamba Chadema itasimama Imara japo kuna mengi hapa kati kati!!!!!
Wakati huo wapiga Zumari Kina Kigogo wa Twitter na Kimambi wa Instagram watakuwa hawana ushawishi Mkubwa Sana kivileee!!!
CCM itapasuka na wakiangalia vibaya kwenye kamchakato ka kuwapitisha wagombea Kuna kundi la wachungaji wa ng’ombe USUKUMANIII litaleta ushindani Mkubwa kwa Kundi la Watoto wa Maji ya Chumvi (karibu na Mujini Darusalaamu)
Kipindi hicho wachambuzi Manguli wa hapa Jamiiforums Kama tindo Kalamu1 The Boss Nyani Ngabu watakuwa wamejichokea na saa nyingine kujitojeza hadharani kwamba sisi ndo Kina fulani
Sina uhakika Kama Pascal Mayalla atakuwa Bado anachambua na kuleta nyepesi za kule jengo jeupe mithiri ya Meli ambako wanaingia Kwa majina maalumu na simu wanazima wanaitana chief ukijichanganya ukaenda kumuuluzia ijumaa aga kabisa kwenu mana unaweza kutoka Jumatatu!!!
Kanisa la mchungaji Gwajima litakuwa ndo basi tena watakuwa wameshaanza kujitokeza waumini wake kusema yasiyo sahihi huku tukiwa midomo wazi…mwaka 2025 Ubgunge anaweza asipate tena ..
Hapo sasa ndo tutaona Tanzania yenye kuheshimiana kidogo maana itakuwa ni uchaguzi wa kwanza chini ya Tume huru na KATIBA Mpya
Britanicca