Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
sehemu mbali mbali hapa Tanzania nimekuta
tangazo ''TUNAUZA MKAA''.
Unapoandika unauza MKAA inamaana unauza kipande kimoja.
Ila neno fasaha linalotakiwa kutumika hapo ni ''TUNAUZA MAKAA''.
Ukiwa mmoja unaitwa MKAA.
Na yakiwa mengi yanaitwa MAKAA.
Na ndio maana huwezi kukuta neno MKAA WA MAWE huku yakiwa mengi. bali utakuta neno MAKAA YA MAWE.
So ukikuta mahali pameandikwa hivyo basi mtafute
muhusika kisha mnase vibao. Akikupeleka polisi nitafute kisha watajuwa kama kuna wanasheria wa kuzaliwa na wanasheria wa kusomea...
tangazo ''TUNAUZA MKAA''.
Unapoandika unauza MKAA inamaana unauza kipande kimoja.
Ila neno fasaha linalotakiwa kutumika hapo ni ''TUNAUZA MAKAA''.
Ukiwa mmoja unaitwa MKAA.
Na yakiwa mengi yanaitwa MAKAA.
Na ndio maana huwezi kukuta neno MKAA WA MAWE huku yakiwa mengi. bali utakuta neno MAKAA YA MAWE.
So ukikuta mahali pameandikwa hivyo basi mtafute
muhusika kisha mnase vibao. Akikupeleka polisi nitafute kisha watajuwa kama kuna wanasheria wa kuzaliwa na wanasheria wa kusomea...