Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
- Thread starter
- #21
Enzi zetu Ilikuwa tunatamka Mafuta Taa kama neno moja. Ila ukilisikilza hilo neno toka kwa mtu mwingine utasikia akitamka MAFUTA YA TAA. Nahisi ndio chanzo cha hiyo YA.
Hichi kizazi cha ''hakuna majotroo'' ndio kinatuharibia Lugha