Kama huna malengo nae hauna haja yakupasha kiporo achana nae ndo maana pale juu nilikwambia una mengi yakuangalia as in bado unampenda, unamalengo nae ganiAlimaanisha Kuna mimba yan naweza kujikuta nimempa mimba hali yakua sina malengo nae nafkiri alimaanisha hivyo
GunFire
Sasa kama hauna mapenzi nae si umuache tu aendeUshauri mzuri mkuu ila sijion kama ninamapenzi nae baada ya kuvigundua vikwazo vyakua na malengo nae ni vingi, licha yakua analazmisha niwe nae hivyo hivyo.
Ahsante kwa ushauri mkuu.
GunFire
Na mimi nilimaamisha pia muache tu aende hata kama karudi tena coz bado hauna mapenzi.Kama umesoma vzur nafkr umeona nilisha muacha aende ila anatka arud kivngne Sasa sijui hujaelewa wap
GunFire
Mkuu nmekuelewaCheza mbali na huyo mtt hawa viumbe n nyoka kugeuka na kukugonga n dakika tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee nashkuru nmekuelewa sanaAtakutegesha mimba na mkishazaa hicho kiranga chake utajutra learn to move forward no future with someone kwanini usimpotezee na uzinzi jumla?
Sent using Jamii Forums mobile app
NmekuelewaNilirudi kwa EX nilijuta...maisha yangu yalirudi nyuma Sana...Mpaka leo na suffer consequences ya maamuzi yangu.
USITHUBUTU
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo navyoskiaga humu kwamba wanategeshewa