Jibu ni Kiswahili.
Ukiangalia nchi nyingi duniani,tena zilizo na urafiki wa karibu na waengereza hazitumii kiengereza na zinz mafanikio makubwa sana, Angalia nchi za scandnavia,(sweden,kiswedesh,/denmark;Kidenish/Norge,Kinorge na Finland,)hizi nchi pamoja na muungano wao bado kila mmoja anazungumza lugha yake na sikiengereza.
Lakini pia nchi hizi zinaidadi ndogo sana ya watu,Pia ukiangalia holand ni nchi yenye mafanikio lakini haiongei kiengereza pia ina watu si zaidi ya 5mil.
Sijui watanzania munafikiria nini Kutaka tukiache kiswahili turukie kiengereza .
yuko mchangiaji mmoja hapo amesema kua Tubakie na kiswahili lakini tutilie mkozo kwenye Kiengereza ili tukijue kiengereza kama lugha ya pili na ya mawasiliano ya nje tu inatosha.