Inategemea sehemu nyingine unaweza kufanyiwa interview kwa KIHAYA, kipare, kichaga n.kKiingereza.
...hivi interview za Halmashauri na taasisi za serikari huwa zinafanyika kwa lugha gani vile!?
Dah sikujua kama uchagani kuna limbwata!mimi naona lugha nzuri yakutumiwa na watanzania iwe kichagga kwani ni luhga ya wakwe zangu.
Mkuu Wilbald hapo juu amesema ni wakwe zakeKimakonde bwana, nyingine si zimeshindikana kutumika!
Duh, ninyi sasa mmeanza kaukabila maana wote mko hivyoKipare
mimi naona lugha nzuri yakutumiwa na watanzania iwe kichagga kwani ni luhga ya wakwe zangu.
Usituzingue hapa kwani lazima tukafanye kazi ulayawa ndg.hebu tuache masihara!kiswahili ni noma!ukienda nje ya nchi unatia aibu!zee zee nyng!!kingereza bomba!hamuon wakenya na waganda wanakata mbuga?ukienda USA unamkuta mkenya driver taxi,mbongo mh utata
Kipare
Dah Ngabu si bora kichina?Miafrika hatuna jinsi....tukishobokee tu kizungu.