Ni lini uongozi wa chuo kikuu ulibariki maandamano ya wanafunzi???

samirnasri

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
1,388
213
Kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni amesema walilazimika kuyatawanya maandamano ya wanachuo kwa kuwa uongozi wa chuo haukua na taarifa zozote na wala haukubariki maandamano hayo. Nijuavyo mimi jeshi la polisi ndilo lenye mamlaka ya kutoa kibali cha maandamano. Kumbukumbu zangu za hivi karibuni zinanionesha kuwa uongozi wa chuo kikuu siku zote umekua ukipinga migomo na maandamano ya wanafunzi na siku zote umekua mstari wa mbele kubandika matangazo ya kuwaonya wanafunzi na kutishia kuchukua hatua za kisheria. Nauliza ni lini uongozi wa chuo umepewa mamlaka ya kubarikia au kuruhusu maandamano ya wanafunzi.
 
Kama nilimuelewa vizuri Makamu wa Rais wa serikali ya wanachuo, nikuwa approach ya wanafunzi katika suala zima la nyongeza ya posho, haikuwa nzuri, Bunge lao litoe approach nawakitumia njia hiyo then serikali isipo sikiliza hapo Uongozi wa wanachuo pamoja na wanachuo wanaweza kuandamana ili kushinikiza nyongeza hiyo wanayodai.:sick:
 
Back
Top Bottom