wazanaki
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 1,092
- 804
Wakuu. Ningependa kujua kwa yoyote yule mwenye uelewa mpana wa ukoloni mambo leo unavofanya kazi. Atuambie ni lini alikuja kugundua kwamba vita hiyo ni kubwa sana na waafrika kwa ujumla tunazidi kushindwa. Facts za kihistoria zin ajieleza na hatujawahi kuchomoka kwenye mtego wa mzungu richa ya kuwa kila siku tunajaribu.
Mimi binafsi nilipogundua hatuwezi ku control mfumo wa hela wa dunia na wanao control wanaweza kuprint hela bila kuulizwa nikajua hatutakaa tuchomoke kwenye trap. No matter tunapiga kazi kiasi gani. Huo ndo mtazamo wangu kwa uelewa wangu. Just an opinion.
Wewe je unakuja na nini mezani? Tunajua ukoloni mambo leo upo. Lakini kwa nn hua tuna ignore kama vile ni conspiracy. Ukimwambia mtu kuna ukoloni mambo leo wazo la haraka linalokuja kichwani mwake anahisi unamrudisha shuleni kwenye notes alizokua anasoma kwa kukariri. Na wabongo tusivopenda kusoma anakuona kama unataka kumchallenge kielimu kumbe wewe lengo lako ni kufanya nae majadiliano ya kuweka awareness.
Mimi binafsi nilipogundua hatuwezi ku control mfumo wa hela wa dunia na wanao control wanaweza kuprint hela bila kuulizwa nikajua hatutakaa tuchomoke kwenye trap. No matter tunapiga kazi kiasi gani. Huo ndo mtazamo wangu kwa uelewa wangu. Just an opinion.
Wewe je unakuja na nini mezani? Tunajua ukoloni mambo leo upo. Lakini kwa nn hua tuna ignore kama vile ni conspiracy. Ukimwambia mtu kuna ukoloni mambo leo wazo la haraka linalokuja kichwani mwake anahisi unamrudisha shuleni kwenye notes alizokua anasoma kwa kukariri. Na wabongo tusivopenda kusoma anakuona kama unataka kumchallenge kielimu kumbe wewe lengo lako ni kufanya nae majadiliano ya kuweka awareness.